My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,603
- 11,883
Heeee ! Panya buku ?Kwa kimalkia wanaitwa guinea pig.
Ni jamii ya rodents.


Sijawah kula aisee
Hata picha wajameniTuko bize tunajipikilisha


Maana Kutualika hamjatualika
Heeee ! Panya buku ?Kwa kimalkia wanaitwa guinea pig.
Ni jamii ya rodents.


Hata picha wajameniTuko bize tunajipikilisha


Maskini unatia huruma 😅😅😅mimi mwenyewe nasubiria mwaliko hapa.kwahiyo hauko peke yako ambae hujaalikwa🤪🤪Heeee ! Panya buku ?
Sijawah kula aisee Hata picha wajameni
Maana Kutualika hamjatualika
Nataka nione selfie zinazoambatana na pilau la leo.Ngoja tushibe kwanza tutaweka kitakachobaki..au kama vipi nenda uzi wa misosi ukashibe kule...
Mana hata mimi nategemea watu wapost kule kwenye uzi nikale![]()
Maskini unatia hurumamimi mwenyewe nasubiria mwaliko hapa.kwahiyo hauko peke yako ambae hujaalikwa
![]()





Asante.Merry Christmas Annie


Mzima mkuu wa afya teleMbona kama vidole vinataka kuanza kufanya clubbing?
Ni mzima kiafya mkuu?
Mnoo anabanikwa kwenye Moto wa mafiga anapakwa chumviHaha wanaliwa sana huko?
Ipo kule juuHalafu huu Uzi hauna Selfie yako hata moja.. Uhutendei haki..
Mmmmmmmh!!!!!!Ipo kule juu
Hallelujah
Noma sana hatari weka mbali na watotoMtu ns binamu yake
![]()