Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
kwa maana hio hela ya kusuka kila wkend nitakua sitoi?




hela ya kusuka utaifidia kwenye vitenge.Yaani napenda vitenge mimi na asilimia 90 ya nguo zangu ni vitenge.kwa maana hio hela ya kusuka kila wkend nitakua sitoi?




hela ya kusuka utaifidia kwenye vitenge.Yaani napenda vitenge mimi na asilimia 90 ya nguo zangu ni vitenge.Poleeee!!
Mimi sasahivi nashindwa kusuka.
Nikisuka Leo,kesho kichwa chote kinawasha..siwezi hiyo kazi ya kujikuna kama mwehu.
Ya jana ilikuwa ipi kati ya hizo?Mimi huwa nina sikukuu 2 tu!
Pasaka na Christmas.
Yap Mkuu Good start 👏What can I say... I'm Lucky.😢😢
Kashindwa kujizuia 😆😆who told u😄
Ujue mtu akinyoa kila muda unataman kumwambia una nywele nzuriKashindwa kujizuia 😆😆
HaikuwepoYa jana ilikuwa ipi kati ya hizo?
Mimi sasahivi nashindwa kusuka.
Nikisuka Leo,kesho kichwa chote kinawasha..siwezi hiyo kazi ya kujikuna kama mwehu.



safi Sana mwanamke akipiga hasa vitenge Og na style fulani ni balaa Sana Yule dgo wangu wa kike ana fundi hapo uyole aisee mpaka na Mimi nilianza shawishika kushona mashati ana mikato ya hatarihela ya kusuka utaifidia kwenye vitenge.Yaani napenda vitenge mimi na asilimia 90 ya nguo zangu ni vitenge.
Hivi hakuna app inayoweza kuondo kitu kama huo mkono kwenye hio picha????

Yaani umejuaje?Poleeee!!
Haswa kukiwa na joto...ni changamoto kweli kweli.
Umejaribu kubadilisha mafuta labda?? Pengine ndo yanayozidisha!![]()



Anatengwa hivyo kama unavyomuona kwenye meza Kama vile ni keki kicha anakatwa kama jeki na kulishana.Mbona huwa naona kwenye picha wamekatakata vipande?.
Mm Bora nishinde njaa kuliko kumla mbuzi mzima hivi,yaani hata kuku nikumuona kabla hajachinjwa siwezi kumla .
Oh nitaenda na mimi kushona kwa huyo fundi.safi Sana mwanamke akipiga hasa vitenge Og na style fulani ni balaa Sana Yule dgo wangu wa kike ana fundi hapo uyole aisee mpaka na Mimi nilianza shawishika kushona mashati ana mikato ya hatari

Ulivunjika?Nishapoa.
Siku hizi unatembea mno utadhani sio wenyewe![]()
ifike mahala unabadili kidogo sio dhambi unajiupdateOh nitaenda na mimi kushona kwa huyo fundi.
Ubaya wangu mm mishono yangu ni ileile zilipendwa![]()
Kesho nitaselfika.
Nasubiri selfie yako
Hapana ila nyama nyingi iliondoka.Ulivunjika?
VanillaHeeeh nashangaa hapo na mie kuiona lol, ina ladha gan?