Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sasahivi nashindwa kusuka.
Nikisuka Leo,kesho kichwa chote kinawasha..siwezi hiyo kazi ya kujikuna kama mwehu.
Poleeee!!
Haswa kukiwa na joto...ni changamoto kweli kweli. 😣
Umejaribu kubadilisha mafuta labda?? Pengine ndo yanayozidisha!😏😏
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hela ya kusuka utaifidia kwenye vitenge.Yaani napenda vitenge mimi na asilimia 90 ya nguo zangu ni vitenge.
safi Sana mwanamke akipiga hasa vitenge Og na style fulani ni balaa Sana Yule dgo wangu wa kike ana fundi hapo uyole aisee mpaka na Mimi nilianza shawishika kushona mashati ana mikato ya hatari
 
Poleeee!!
Haswa kukiwa na joto...ni changamoto kweli kweli. [emoji21]
Umejaribu kubadilisha mafuta labda?? Pengine ndo yanayozidisha![emoji57][emoji57]
Yaani umejuaje?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wiki kama 2 nilikuwa Dodoma na sehemu niliyokuwepo kulikuwa na joto hatari nikawa natamani ning'oe weave.

Naona shida si mafuta.
Shida ni kwamba nilipumzika kusuka na muda wote niliopumzika nilikuwa nazitia maji kila siku..sasa kuanza tena napata tabu
 
safi Sana mwanamke akipiga hasa vitenge Og na style fulani ni balaa Sana Yule dgo wangu wa kike ana fundi hapo uyole aisee mpaka na Mimi nilianza shawishika kushona mashati ana mikato ya hatari
Oh nitaenda na mimi kushona kwa huyo fundi.

Ubaya wangu mm mishono yangu ni ileile zilipendwa[emoji38]
 
Back
Top Bottom