Gego linakuuma nini😆😆😆hueleweki msukuma wangu..m’babe kakupiga chini😁😁Mmmmh.....
HahahahhahaWe nae jirani...Anza kwanza kukula mwandiko wangu ukishiba utamkula na ndugu mwandishi.no hurry in Africa especially Tanzania![]()
Nakuelewa jirani yangu mpendwaWe nae jirani...Anza kwanza kukula mwandiko wangu ukishiba utamkula na ndugu mwandishi.no hurry in Africa especially Tanzania![]()
Nakubali sana mkuu
Hahahahahaha unataka laana za mababu zetu zitutafune bado hatujawa wahindi , achana na huyu T 1990 ELY kijana muhuni sana huyo na ni mbahiliBinamu uvumilivu utanishinda mimi kwan kuvunja ukoo sh ngap? tuwe tu mume na mke maan T 1990 ELY naye kanitelekeza
![]()








Tu naelewa na jirani yangu.haya niambie mnanipeleka lini lushoto mie nikapunguze stressNakuelewa jirani yangu mpendwa
Unaua sana na wewe😅😅Hahahahahaha unataka laana za mababu zetu zitutafune bado hatujawa wahindi , achana na huyu T 1990 ELY kijana muhuni sana huyo na ni mbahili![]()
Unaona unavyoliangusha taifa..unaona lkni jirani..😅😅
Tunaonana wapi?Kweli tena
Ukitaka ushahidi njoo unione
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilishajua ni wewe, hakyanani ungekula bakora zile![]()
Mimi sijasema hivyo.
Kwahiyo Bora ndoo kuliko jpm???![]()
Ngoja nizichange, december na January ni miezi ya kutumia tu majuto baadaeTu naelewa na jirani yangu.haya niambie mnanipeleka lini lushoto mie nikapunguze stress
Dada haya maisha yananipeleka puta acha tu hadi umbea unanipita hivi hivi😭😭😭Kuna jambo nataka tuongee hapa ila nashindwaUmbea huu.Mdogo wangu Espy sijui leo yuko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Please do the needfull, nimekusamehe na adhabu imeisha.yo nuts!