Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
Huyu nani jamaniiiNaendelea kuunganisha matukio![]()
Huyu nani jamaniiiNaendelea kuunganisha matukio![]()
Hapan ni bora nimjue, ili nitambue namkwepa vip, yaan tunajichanganya humu kumbe sio sehem salama.kwani ukimjua utamfungulia uzi au utakausha!ni bora usijue tu maana si kila mtu anaweza kumjua mbaya wake akatulia
Kama utamlipua mlipulie sehemu nyingine..kwenye huu uzi usifanyie malipuzi ukafungwa buree...bado tunauhitajiKabisaa iwe ivo yaan mam
Dea acha tyuuuh, unajua kna m2 nasumbuan nae PM, mbaya zaid kila kitu anafaham kuhus me, nlichoka aliposema ana picha zang, nkambishia salaleee akatuma 1 wallah skuwa na aman,Kula wewe acha ujinga![]()





Tena unampendaga nasikia 😅😅Dea wee acha tyuuuh, ndo hapa naunga dots ha kugundua hilo, yaan nmepoteza had appetite ya kula, wakat nlkua na njaa hatareeh.
Me wala stamlipua ila natak kumjua tyuuuh, yaan sina aman japo nahis kupotezea.Kama utamlipua mlipulie sehemu nyingine..kwenye huu uzi usifanyie malipuzi ukafungwa buree...bado tunauhitaji
Kuna jambo nataka tuongee hapa ila nashindwaWachaaaa...Nilijua za kina sisi kumbe Hadi za coca wangu Jamani...binti m'baya yule...ptuuu!!


Umbea huu.Mdogo wangu Espy sijui leo yuko wapi?Yupi huyoooh? Na atakua yeye huyu naye muhis lol.Tena unampendaga nasikia![]()
Mi nakushauri usimjue.na ukimjua umsamehe tu maana magomvi si mazuriHapan ni bora nimjue, ili nitambue namkwepa vip, yaan tunajichanganya humu kumbe sio sehem salama.
Hapo unazaidi kumvuruga mama anguTena unampendaga nasikia![]()
Wee sema tyuuuh mam, hakna shdaKuna jambo nataka tuongee hapa ila nashindwaUmbea huu.Mdogo wangu Espy sijui leo yuko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nilimhisi kwanza kuingia inbox imooooo😅😅Yupi huyoooh? Na atakua yeye huyu naye muhis lol.
Hapan dea wee nambie tyuuuh. Wala stafany chchte me.Mi nakushauri usimjue.na ukimjua umsamehe tu maana magomvi si mazuri
Jomoneeeeh tobaaah wee, mbna hatareeeh San akiwa ni yeye lol.Hata mimi nilimhisi kwanza kuingia inbox imooooo![]()
😂😂😂😂😂 Ninon'goneze eti....maana masikio yashakuwa paru hapa nilipoKuna jambo nataka tuongee hapa ila nashindwaUmbea huu.Mdogo wangu Espy sijui leo yuko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo nazid kudata tyuuuh lolHapo unazaidi kumvuruga mama angu
Just listen to her my dear. She is your friend.Acha bwana kwahiyo anaomba omba
Jamani napigwa mkwara na sakayo wangu nitoke uku jf![]()
Kuna wakati alikuwa anakuquote sana.. Ina maana yote ile ilikuwa ni nini?Ninon'goneze eti....maana masikio yashakuwa paru hapa nilipo
Nitatoka jamaniJust listen to her my dear. She is your friend.