Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Utakuwa uliona vibayaSio kwa ile hips yenye fujo nayoionaga kwa kuibia ibia![]()
Imepukutika haipo tena,mwili umepotea.
Utakuwa uliona vibayaSio kwa ile hips yenye fujo nayoionaga kwa kuibia ibia![]()
Amen.
wanyakyusa hamtaki taabu na lugha za watu kwakweli.
Not sure, hamna ushahidi..Utakuwa uliona vibaya
Imepukutika haipo tena,mwili umepotea.
Hbd rolo modo my spiritual sister
Bwana akubarikie na kukulinda..
Uendelee kukua katika neema, hekima na maarifa ukimpendeza Mungu na wanadamu.
Bwana akuinulie nuru za uso wake na kukufadhili.
Akuinulie uso wake na kukupa amani siku zote.
Tangu zamani tetesi zilikuwa zinasambaa kuwa jamaa hapendi kuvua mask sababu ana sura ya kike! Japo alishavuliwa mara kadhaa ulingoni na wapiganaji wenzie!Sijamuona
Yaani huyu kaka ni mzuri,yaani mzuri mno jamaniJana nimeangalia clip Yake Mara 2 2 simmalizi
MUNGU fundi Sana![]()
Kuna yule mwingine alipewa mike akaweka sikioniKisa cha kujing'ata?

Haki sikutegemea kama ni m-cute hivyo. Nilikuwa napenda sana anavyopigana kwa tektiniki zake amazingTangu zamani tetesi zilikuwa zinasambaa kuwa jamaa hapendi kuvua mask sababu ana sura ya kike! Japo alishavuliwa mara kadhaa ulingoni na wapiganaji wenzie!
Na hapo ni ana miaka 46 ila ndiyo ana kasura hako sasa pata picha kalivyokuwa kayanki ndiyo kanaanza miereka! Na kanavyovaa na hereni sasa ndiyo kabisa mdada huyu hapa!
Em tuwache bana hahahahhhhahhahaaKuna yule mwingine alipewa mike akaweka sikioni![]()
Kweli tenaNot sure, hamna ushahidi..
AiseeeTangu zamani tetesi zilikuwa zinasambaa kuwa jamaa hapendi kuvua mask sababu ana sura ya kike! Japo alishavuliwa mara kadhaa ulingoni na wapiganaji wenzie!
Na hapo ni ana miaka 46 ila ndiyo ana kasura hako sasa pata picha kalivyokuwa kayanki ndiyo kanaanza miereka! Na kanavyovaa na hereni sasa ndiyo kabisa mdada huyu hapa!
AmenMy spiritual Sister......... What an honor. Na ikawe hivyo kwa utukufu wa Mungu. Thank you swts.

Ana watoto watatu, amejitahidi sana kutengeneza hiyo English figure lakini anaishia na bantu figure![]()
..nenda mwana kwenda!






Kwani napenda English figure babe! Hivyo ulivyo na hilo li bantu lako mimi uwiiiii, nashika vinashikika babe![]()










Aiseee
Kumbe ana 46!
Jamaa namkubali sana style yake ya kuruka kwa kujizungusha Kwenye kamba.. Nilikuwa naumia Sana akipigwa, sasahivi nimemuona alivyo usoni nadhani nitaumia maradufu akipigwa.
😅😅😅punguza sauti Sasa jmni baba lohWengine siwaoni humu au wameenda kuhesabiwa?
Happy Birthday Dear SisThank you so much momma. So shall it be IJN
Umenikumbusha bibi yangu "sabidei"



Happy Birthday Dear Sis![]()
![]()
Hahahaha, utakua we mmoja wapopunguza sauti Sasa jmni baba loh