Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,199
Sasa bora angeniuliza tu kama wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule naye inawezekana kashapata info za huyu tunayemuongelea akajihisi pengine na zake zitakuwa zimemfikia maana siyo bure
Kuninunia mimi sijui kosa,akwende zake[emoji1787][emoji1787]na mwaka unaisha hivyo,na siombi msamaha ng'oo kwa kununiwa bila kujua kosa.
Akipita ataona.