Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Sasa bora angeniuliza tu kama wewe
Yule naye inawezekana kashapata info za huyu tunayemuongelea akajihisi pengine na zake zitakuwa zimemfikia maana siyo bure
Kuninunia mimi sijui kosa,akwende zake

na mwaka unaisha hivyo,na siombi msamaha ng'oo kwa kununiwa bila kujua kosa.Akipita ataona.



