Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,670
- 50,987
Ngoja nimfanye mke basi nisiliangushe taifaUnaona unavyoliangusha taifa..unaona lkni jirani..![]()




Ngoja nimfanye mke basi nisiliangushe taifaUnaona unavyoliangusha taifa..unaona lkni jirani..![]()




Sawa jirani yangu 🧚♀️🧚♀️🧚♀️Ngoja nizichange, december na January ni miezi ya kutumia tu majuto baadae
Hawezi/hana ujasiri wa kunipiga chini.Gego linakuuma ninihueleweki msukuma wangu..m’babe kakupiga chini
![]()
Please do the needfull, nimekusamehe na adhabu imeisha.







dah nimecheka asee, nimetoka kifungoni. So, three times per week au inakuwaje

Pole Kipenzi.Dada haya maisha yananipeleka puta acha tu hadi umbea unanipita hivi hivi![]()
Unajua bado uko kwenye probation, two times a month.dah nimecheka asee, nimetoka kifungoni. So, three times per week au inakuwaje
![]()
Sasa pole gani kavu kavu hii mama. Isindikize na kampesa bwana.
Unajua bado uko kwenye probation, two times a month.



probation, najaribu kuona nashindaje mechi zangu hapa!Weraaaaaaaaaaaa😆😆😆Hawezi/hana ujasiri wa kunipiga chini.
Ananipenda mno.......
Yaani nimemkaa kunako
Vipi kwema lakini mkuu
Mkuu Iceberg9 unaweza kuiaminisha na kuionyesha jamiiforum uhuni na ubahali wangu uko wapi?Hahahahahaha unataka laana za mababu zetu zitutafune bado hatujawa wahindi , achana na huyu T 1990 ELY kijana muhuni sana huyo na ni mbahili![]()


Shinda za arsenal kwanzaprobation, najaribu kuona nashindaje mechi zangu hapa!


Hizo tuachie sisi huko ni vidonda vya tumbo tu mama!
Hizo hazishindiki?
Basi sawa baba.Hizo tuachie sisi huko ni vidonda vya tumbo tu mama!
Babe kwakweli hizo bakora nimezimiss basi tu.
Please do the needfull, nimekusamehe na adhabu imeisha.
dah nimecheka asee, nimetoka kifungoni. So, three times per week au inakuwaje
![]()
Mkuu Iceberg9 unaweza kuiaminisha na kuionyesha jamiiforum uhuni na ubahali wangu uko wapi?
Kwa taarifa yako mkuu mimi kwenye papuchi/wanawake huwa nafunguka mno hela/fedha/pesa.
Napenda papuchi mno siwezi kuwa bahali
Vipi kwema lakini mkuu
Naunga mkono 

ika hiyo ya kuiaminisha jf siwez maana ulikua ni utani tu mkuuKakojoe ulale.NIMEFUMBA MACHO
Tatizo wazazi wanaongea usiku wewe upo macho!NIMEFUMBA MACHO