Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
NIMEKOMAKakojoe ulale.
Tatizo wazazi wanaongea usiku wewe upo macho!
NIMEKOMAKakojoe ulale.
Tatizo wazazi wanaongea usiku wewe upo macho!
Safi.NIMEKOMA

Ni deisaamu iviaha..ne niheikaa...kumbe ti wosheNvitana mghoshi kaibu daisaama


Osie Hayandio mkuu![]()
hahahah....hapana mkuu...mm nimekuwa pale....ila zongo lipoOsie Haya
Kwa Sambaani Me natoka mbali sana mpaka Leo hakun umeme
Enheee Naskia mashewa hapo nhoongwe Kuna uchawi sana ni kweli ?
...lile la kukarbisha wageni...sema mara chache sana kitokea..labda zamanSasa pole gani kavu kavu hii mama. Isindikize na kampesa bwana.






Shinda za arsenal kwanza![]()









Kweli ukubwa Dawa.. Ndiyo itakuwa zawadi ya Christmas eeh??





Aaaah matatizo kazoea huyu, yupo gado. Nashangaa huwa analalamika kitu gani
Nimecheka.. Arsenal inaweza kutuulia mtu hivi hivi..

Hatukaribishani Rafiki kipenziCooked by me..View attachment 1657668
Nimecheka kwa kuogopa..Aaaah matatizo kazoea huyu, yupo gado. Nashangaa huwa analalamika kitu gani![]()
Acha tu.. Nitafanyaje sasa....
Aah kabisa, ulipotangulia kuzaliwa ulitegemea nini?
Nipo DodomaTunaonana wapi?
leo furahidei
Uko na fillet za kutosha mkuuNaona Huu Uzi unaenda Kasi sana..View attachment 1221323
Ndio maana nampenda maana najua level yake ya uvumilivu iko juu sana.Nimecheka kwa kuogopa..
Huna namna mama.Acha tu.. Nitafanyaje sasa....
Unajua nini kipenzi changu!!nilipika lakni sikula mpka urudi online nikukaribishe ndipo tuleHatukaribishani Rafiki kipenzi