Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Acha tu Best.. ndiyo nilikuwa nawaza hapa.. Ile kamati kuu ikiyajua haya kuna mtu ataachwa kweli? Ubaya sasa kile kikosi kinaingiliaga ugomvi halafu ukiisha ndiyo wanauliza shida ilianzia wapiSasa wale wengine wajue haya bidada atachambwa mpaka ukucha wa mwisho




wakuteia tewe
...imi kwezindo....haja bakwata....misheni naahateiyya. mia nkuie nkhoogwe.


