mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,688
- 2,341
napita tu
Sawa sawatumeni pichaView attachment 1656437
Sura haiendani na mieleka kabisaYes hiyo style yake aliipa jina la six-one-nine na hiyo ndiyo ikawa a.k.a yake
Jamaa sura yake haiendani kabisa na umri wake wala huo utundu anaoufanya ulingoni

Mbona huku niambie nikakuweka kwenye maombi Chief.Emirate business class cabinView attachment 1656482
Kaingia bila hodi😆😆😆Nani mwenzangu
Haya hapana, nitachekesha walionuna.![]()
![]()
![]()
We ni bantu figure bila shaka, nitakununulia moja
Happy birthday mama mchungaji Yesu wetu azidi kukubariki kwa kila unachofanyaThank you so much momma. So shall it be IJN
Umenikumbusha bibi yangu "sabidei"
na akulinde kwa damu yake 



Mama Muinjilisti, shukrani sana; nimepokea kwa Jina la Yesu. Nakupenda sana sanaHappy birthday mama mchungaji Yesu wetu azidi kukubariki kwa kila unachofanyana akulinde kwa damu yake
Nakupenda dear![]()
Happy birthday to you Heaven SentMama Muinjilisti, shukrani sana; nimepokea kwa Jina la Yesu. Nakupenda sana sana
Happy birthday to you Heaven Sent
Haha....Haya bhana nyonyoma.Ahsante sana msukuma mwembamba; nasubiri picha ya breakfast
Nzuri kabisa mpendwa, sijui za kwakoHaha....Haya bhana nyonyoma.
Habari za asubuhi mpendwa
Ni mcute my dear! Akifuga ndevu ndiyo kidogo anaonekana kama mwanaume ila akizinyoa kama hivyo ni kama mwanamke!Afu kumbe m-cute vile daah
Za kwangu njema/salama kabisa mkuuNzuri kabisa mpendwa, sijui za kwako
Ni mcute my dear! Akifuga ndevu ndiyo kidogo anaonekana kama mwanaume ila akizinyoa kama hivyo ni kama mwanamke!
Za kwangu njema/salama kabisa mkuu
Vipi unapokea na zawadi?