Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Magari ya watuNdan ya ndinga.![]()

Magari ya watuNdan ya ndinga.![]()

Si ndiyo alikuwa ananichimba na kunichekea kinafikiKuna wakati alikuwa anakuquote sana.. Ina maana yote ile ilikuwa ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na natamani ingekuwa Leo maana niliamka kisharishari...
![]()




Duh!!!Inasikitisha...Pole Dear.Si ndiyo alikuwa ananichimba na kunichekea kinafiki
Tumeamua kumstiri mwanamke mwenzetu..
Lakini naona tu kwa leo hakuna aliyekuwa tayari kumtaja wala kumuanika
Ahsante dear.
Kama utamlipua mlipulie sehemu nyingine..kwenye huu uzi usifanyie malipuzi ukafungwa buree...bado tunauhitaji






Mtakatifu nasi tupe tahadhari jamani loh
Kuna mtu karma ashanipa tahadhari halafu sasa Kuna kazi nafanya naye na picha zangu anaona kila siku.
Yes nasikia anatoa hadi za wenzake my dear! Tena bila kuulizwa yaani!Uwiiii kumbe hadi infoooo...Nilijua anazitoaga zake kwa wanaume wa humu kumbe hata za wenzake..!!!! Salaleeeh!!!!
Mi mwenyewe bado sijamjua ujue😅😅Huyu nani jamaniii
Jamani natamani kumjua karma ebu kuja pm basi![]()




Jamani acheni nileft tu sakayo atanipiga kasema hataki kuniona huku



