Wapendwa one thing you have to know hii ni jamii, kama ilivyo ada jamii huwa na kila aina ya watu. Na huyu mnaemnanga(mmegoma kuniambia


) huo ndio udhaifu wake na ndio unamfanya kuwa binadamu. Sote hatujakamilika, mliowahi kuwa karibu nae ni vuema mkamwambia kile anachowakwaza hata akimind ukweli ashaupata. Maybe ni utoto au basi tu ni hulka yake
Hizi id fake zinatutengenezea personalities ambazo zinafanya watu watamani kukufahamu, japo wengine sie hatuna muda wa kuhangaika kufahamu watu ila wengine kwao ni big deal. Huo utofauti ndio unatufanya sie kuwa binadamu. Tusameheane tu, na maisha yaendelee.
Hata mkiongea vipi, atatokea mwingine tu wa kaliba hiyo hiyo. Sasa sijui tutaogopana hadi lini. Ila tujifunze tu kutunziana privacy zetu kwa wale waliamua kutuamini.