Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dah ona sasa haya matatizo yanatuaffect wengi.
Si ajabu kuna watu wameninunia humu sababu ya hayohayo na mimi sijui[emoji23][emoji23]
Bora wewe rafiki yangu uliniuliza,Sasa wengine wameninunia kimyakimya dah maisha haya[emoji1787]
Yaani yule dada kajua kutuchonganisha watu jamani! Watu tunashikana uchawi huku tunagombana kumbe mchawi mwenyewe katulia tu anatucheck na anavyojua kujisafisha sasa ili yeye aonekane innocent!
 
Yaani yule dada kajua kutuchonganisha watu jamani! Watu tunashikana uchawi huku tunagombana kumbe mchawi mwenyewe katulia tu anatucheck na anavyojua kujisafisha sasa ili yeye aonekane innocent!
Ila Mimi case yangu sidhani kama inahusiana na hiyo [emoji1787]
Yule aliyeninunia atakuwa na matatizo yake binafsi.
 
Ila ukimchunguza mwandiko wake kwa kina lazima ugundue kitu.niamini
Unafikiri mie huwa najua kuchunguza mtu basi! Mie nilikuwaga namsoma tu juu juu na tulivyokuwa tunachitchat nikajikuta nimetokea kumuamini tu hadi tukafahamiana!

Na hiyo ndiyo sababu hadi leo siwezagi mgundua mtu mwenye id zaidi ya moja humu JF hata miandiko iwe inafanana vipi na huwa nashangaa watu wanachunguzaje hadi wanajua! Mie hata ndugu zangu huwa wananiambia mi ni mwepesi sana kuamini mtu baki na ndiyo maana hata nishatapeliwa sana baadhi ya vitu vyangu vya thamani!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kipoooo bado wapo baadhi. Juzi Weekend kuna uzi mmoja ulitrend hapa JF wa Mdada mmoja wa Mjini waliushambulia ule uzi balaa..Nilicheka mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dooh mbona hukuniita na mimi nijionee jamani
 
Back
Top Bottom