Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Mtejeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi mmemtaja au bado nilale tu? Kama mnamuogopa niambieni mimi nimtaje.
Mtejeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi mmemtaja au bado nilale tu? Kama mnamuogopa niambieni mimi nimtaje.
Nipeni jina hilo basiMtejeeeee![]()
😂😂😂😂 Ngoja karma na Shunie waje na jina😂😂Nipeni jina hilo basi
Yaani yule dada kajua kutuchonganisha watu jamani! Watu tunashikana uchawi huku tunagombana kumbe mchawi mwenyewe katulia tu anatucheck na anavyojua kujisafisha sasa ili yeye aonekane innocent!Dah ona sasa haya matatizo yanatuaffect wengi.
Si ajabu kuna watu wameninunia humu sababu ya hayohayo na mimi sijui
Bora wewe rafiki yangu uliniuliza,Sasa wengine wameninunia kimyakimya dah maisha haya![]()
Ila Mimi case yangu sidhani kama inahusiana na hiyoYaani yule dada kajua kutuchonganisha watu jamani! Watu tunashikana uchawi huku tunagombana kumbe mchawi mwenyewe katulia tu anatucheck na anavyojua kujisafisha sasa ili yeye aonekane innocent!

Unafikiri mie huwa najua kuchunguza mtu basi! Mie nilikuwaga namsoma tu juu juu na tulivyokuwa tunachitchat nikajikuta nimetokea kumuamini tu hadi tukafahamiana!Ila ukimchunguza mwandiko wake kwa kina lazima ugundue kitu.niamini
Kipoooo bado wapo baadhi. Juzi Weekend kuna uzi mmoja ulitrend hapa JF wa Mdada mmoja wa Mjini waliushambulia ule uzi balaa..Nilicheka mno.
Sent using Jamii Forums mobile app






Mimi kama wewe tu



Sawa Ely
Kula wewe acha ujinga![]()








🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wanakamati
Kama utamlipua mlipulie sehemu nyingine..kwenye huu uzi usifanyie malipuzi ukafungwa buree...bado tunauhitaji










sina mbui mghoshi... nitekuughusha du, wa kaya.....Niedi mghosingwa, onga
😂😂😂😂😂 Sasa wale wengine wajue haya bidada atachambwa mpaka ukucha wa mwishoHatari sana.. hamna jambo dogo
![]()