Teh teh halafu nasikia amewahi kumkula! Huyo ndugu yako naye kumbe mhuni tu bahati yake tu hayuko kwenye ile list ya yale mafurushi ya MMU na hajulikani sana humu!Mwenzie yule nafanya naye mishe nimemnanga juzi [emoji38]
Akabisha[emoji1787]..nikasema yaani nikiona zimesambaa moja kwa moja nitajua ni yeye.
Hadi huyo uliyemuongelea hapo juu Naye[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu nyie mna bahati mbaya tu,
Mimi watu wenye namba yangu wanajitambua sana..huu utoto nadhani hawana.
Ninawaamini Sana na wamekuwa Kama ndugu zangu .
Uwiiii kumbe hadi infoooo...Nilijua anazitoaga zake kwa wanaume wa humu kumbe hata za wenzake..!!!! Salaleeeh!!!!Mmhh kitu gani hiko
Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu
Ndan ya ndinga. [emoji3526][emoji3526][emoji3526]Dodoma [emoji7]View attachment 1656895View attachment 1656896
Jamani natamani kumjua karma ebu kuja pm basi [emoji847]Teh teh halafu nasikia amewahi kumkula! Huyo ndugu yako naye kumbe mhuni tu bahati yake tu hayuko kwenye ile list ya yale mafurushi ya MMU na hajulikani sana humu!
Plz cc hebu ni PM Bas na mie nimjue lol.Venye namuona anachungulia comments huku akitweta[emoji23][emoji23][emoji23]
Abeeeh kibonge mwenzangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shunie weeeh!!
Tena cocastic pic zake niliona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unamjua vizuri ingawa humjui ndiye yeye..ila unacheka nae sana jukwaani...be careful
Yesu wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Teh teh halafu nasikia amewahi kumkula! Huyo ndugu yako naye kumbe mhuni tu bahati yake tu hayuko kwenye ile list ya yale mafurushi ya MMU na hajulikani sana humu!
Kabisaa iwe ivo yaan mam@Shunie
Haki huyo mtu umeanza naye mapema sana.. naelewa namna inauma.
Hakuna namna alipuliwe tu hapa.. tuumalize mwaka na kuuanza mwaka mpya salama..
Akija sambaza zangu nitajua tu na nitapambana nayeHadi huyo uliyemuongelea hapo juu Naye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaa lolWatunange kwani walituumba wao??
Wakwende[emoji23][emoji23][emoji23]
Mm mtu akininanga tunanangana.[emoji85][emoji2098]
Fungua PM cc ili unipe ubuyu jomoneeh lol, plz fanya ivoUwiiii kumbe hadi infoooo...Nilijua anazitoaga zake kwa wanaume wa humu kumbe hata za wenzake..!!!! Salaleeeh!!!!
Mdogo wangu...umeanza lini umbeaPlz cc hebu ni PM Bas na mie nimjue lol.
πππππ Doridori samwelaaaa...π€£π€£π€£π€£π€£Fungua PM cc ili unipe ubuyu jomoneeh lol, plz fanya ivo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole Sana
Huo mkasa wa picha ya huyo dada mpole kusambaa niliusikia..
Hata mm imeniumiza maana Karma alianza nihisi mimi kuwa nimeitoa kumbe Wala hata[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na yawezekana niliona status ila sikugundua Kama ni huyo,hata km niligundua basi niliishia kuangalia tu.
Sasa baadaye ndio anakuja niambia masikini mtoto wa watu nashangaa tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe na yako inatafutwa?[emoji1787]
Wachaaaa...Nilijua za kina sisi kumbe Hadi za coca wangu Jamani...binti m'baya yule...ptuuu!!Tena cocastic pic zake niliona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mdogo wangu...umeanza lini umbea
π π aise Americana wallahOhooo kote tu Anapiga