Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Baada ya mihangaiko
20201204_112129.jpg


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hahaha nkamu nipo kwenye mazoezi ya kucheka siku nitakapotuma picha za kumtoa Espy JF

Yaani mmama wa jana amenichekesha jamani, nikimkumbuka najichekea mwenyewe kama mwehu.

Kuna wale mchumba akija kwenye familia, anamtoa kasoro wee mara hatuendani. Siku ya mwisho asipochaguliwa sasa, anaanguaje kilio. Bado wa wale" mimi ndiyo HS ambaye hujanichagua, lakini hata sijaumia maana wewe mwenyewe hukukidhi vigezo vyangu". Waafrika tuna nongwa jamani

Eti kumtoa Espy JF hivi kwanini lakini unamfanyia hivo mama yako

Kile kipindi mie huwa kinanichekesha tu kwa kweli! Huwa najiuliza wanavyochaguana tu kirahisi vile huwa wanadumu kweli!
 

Eti kumtoa Espy JF hivi kwanini lakini unamfanyia hivo mama yako

Kile kipindi mie huwa kinanichekesha tu kwa kweli! Huwa najiuliza wanavyochaguana tu kirahisi vile huwa wanadumu kweli!
Hahaa nasubiri tu siku yake.

I wish siku moja waje watupe feedback ya mahusiano yaliyotengenezwa humo. Hivi uliangalia ile ya kadada kimbaumbau afu akaenda kuchagua bongeee; nilichekaaa
 
Back
Top Bottom