Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20201204_140256.jpg
 
Hahaha nkamu nipo kwenye mazoezi ya kucheka siku nitakapotuma picha za kumtoa Espy JF

Yaani mmama wa jana amenichekesha jamani, nikimkumbuka najichekea mwenyewe kama mwehu.

Kuna wale mchumba akija kwenye familia, anamtoa kasoro wee mara hatuendani. Siku ya mwisho asipochaguliwa sasa, anaanguaje kilio. Bado wa wale" mimi ndiyo HS ambaye hujanichagua, lakini hata sijaumia maana wewe mwenyewe hukukidhi vigezo vyangu". Waafrika tuna nongwa jamani

Hiki kipindi kinanifurahishaga sana aise

Nkamu leo umetumia emoji
Kyala nkulumba
 
Jana wakati nasinziasinzia niliwatazama wazee wanataka kuurudia ujana! Hivi wanafanya kweli, manake kwa stage zile lazima mtu apewe kitu
Hivi brod darling uliona yule mama alivyochekelea jana khaaa. Afu yule baba amefanana na Dr Shika.

Kwa excitement ya yule mama, shughuli imeshaisha kitambo na ukute washamove in. Nahisi wanafanya kweli kwa wanaoamua kuwa serious
 
Hivi brod darling uliona yule mama alivyochekelea jana khaaa. Afu yule baba amefanana na Dr Shika.

Kwa excitement ya yule mama, mzigo ushaliwa kitambo na ukute washamove in. Nahisi wanafanya kweli kwa wanaoamua kuwa serious
Alikuwa anachekacheka sanaa, anataka kumkumbatia Dr shika lakini anajizuia. Pale wiki ndefu kitu kimechezewa...
 
Back
Top Bottom