Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Najazia maana zimeisha
IMG-20200622-WA0026.jpg
 
Hapana mimi siyo mkurya

Mimi ni msukuma wa Bariadi-Simiyu
Hivi wasukuma sio wabahili kama wapare eeh
Hahaha....Huwezi kuwa mwanaume wa kisukuma halafu ukawa bahili Jael

Wanaume wa kisukuma tunasifika nchi nzima na dunia yote kuwa siyo bahili

Tunaongoza kwa kupenda/kupendwa/kujali/kuthamini na kuheshimu kila mtu........

Karibu Jael
Msukuma yes.
Achana na mpare.

Msukuma akiwa rais anweza kukuhonga bahari ya hindi.
Akhsante kwa kukazia na kuweka Yes kwa wanaume wa kisukuma amu

msukuma akiwa?
Kama naniliu alivyohonga wizara ya madini
Mmmh....wanaume wa kisukuma awe mbabe ?

Hapana kwa kweli Zoe
Inasemekana hata Kule kwa kidoti
Sipendi majaribu mimi, haki zitakuwa dhambi zako mwenyewe.
Nakupenda kaka yangu lakini jitahidi ufikie levels za wasukuma.
Jael ukienda ukweni kwa wapare watakukaribisha tembele na dagaa.

Ila ukienda ukweni usukumani lazima uchinjiwe mbuzi na ushikishwe mapembe

Sasa Zoë hata ikiwa wewe utachagua wapi
Oohh pale kwa hao wachungaji, duuh.

Kwa kweli wasukuma asilimia kubwa kwenye kuhonga wako vizuri, ukikuta msukuma mbahili huyo hybrid siyo pure.
Afadhali leo Wasukuma tumekumbukwa. Thenki yu Jizazi. Siyo kila siku kusimangwa ushamba tu. Kuna binti mmoja nilikwenda naye kijijini kwetu Somanda kule Bariadi mama akamchinjia ng'ombe aisee alishangaa sana. Halafu kama hiyo haitoshi akafungashiwa kabisa na mitanda (nyama zilizokaushwa kwa moshi) pamoja na ngozi ya yule ng'ombe wakati wa kuondoka. Akawa ananiuliza sasa mimi ngozi ya ng'ombe naipeleka wapi mi mbavu sina. Hata baada ya kuachana naye aliendelea kuwa rafiki sana na mama wanatumiana pesa na kanga; na kila nikiongea na mama ananikumbusha kuwa yeye hataki mwingine isipokuwa yule tu. Mama alipofariki mwaka juzi rafiki yangu yule alikuwepo na alishiriki msiba ule kwa ukamilifu sana. Amekuwa kama ndugu yetu kabisa

Wanaume wa Kisukuma tuko imara kila idara aisee
 
Afadhali leo Wasukuma tumekumbukwa. Thenki yu Jizazi. Siyo kila siku kusimangwa ushamba tu. Kuna binti mmoja nilikwenda naye kijijini kwetu Somanda kule Bariadi mama akamchinjia ng'ombe aisee alishangaa sana. Halafu kama hiyo haitoshi akafungashiwa kabisa na mitanda (nyama zilizokaushwa kwa moshi) pamoja na ngozi ya yule ng'ombe wakati wa kuondoka. Akawa ananiuliza sasa mimi ngozi ya ng'ombe naipeleka wapi mi mbavu sina. Hata baada ya kuachana naye aliendelea kuwa rafiki sana na mama wanatumiana pesa na kanga; na kila nikiongea na mama ananikumbusha kuwa yeye hataki mwingine isipokuwa yule tu. Mama alipofariki mwaka juzi rafiki yangu yule alikuwepo na alishiriki msiba ule kwa ukamilifu sana. Amekuwa kama ndugu yetu kabisa

Wanaume wa Kisukuma tuko imara kila idara aisee
nilijua tu kuwa ukiona comments kama hizi lazima kichwa kivimbe
 
Back
Top Bottom