Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kumbe na wewe mchokozi sio. Sikuwa na maana hiyo uliyodhani, nilimaanisha siku ya kwanza kuonana sio siku ya kunywa pombe, kulewa na ku-misbehave kwa mtu msiyejuana. Ikibidu soft drinks tu, basi hata "wali maharage" sio vibaya

Nakumbuka siku ya kwanza nilipigwa wali maharage na maji ya kandoro ama kweli kipendacho roho.
 
IMG-20200620-WA0015.jpg
 
Back
Top Bottom