amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Hebu fafanua hapo pa Shaboka's tafadhali.Pale wanaposalia Shabokas.
Rose na Nick pia usisahau.
All in all wasukuka wasimuangushe role model wao.
Penda mingi mingi mie
Mm si mwalimu mzuri lakini



baba hii siyo ajira we fundisha tu unavyowezaOohh pale kwa hao wachungaji, duuh.Pale wanaposalia Shabokas.
Rose na Nick pia usisahau.
All in all wasukuka wasimuangushe role model wao.
Penda mingi mingi mie
Wanasalia Kebbys.Hebu fafanua hapo pa Shaboka's tafadhali.
Mweeeeh!!Wanasalia Kebbys.
Inasemekana hapo msukuma alihonga.
Wapare wa wapi hao na matembele, tunakula nyama hatari, hivi nikutafutie mdogo wangu uthibitishe?
Hivi kaka eti ni kweli kuwa wapare wote ni wafupi ??Wapare wa wapi hao na matembele, tunakula nyama hatari, hivi nikutafutie mdogo wangu uthibitishe?
Hahaha wapi tena,ulikuwa hujui kusema soksi nini?ulivoandika 'soski' umenikumbusha mbali
Hivi kaka eti ni kweli kuwa wapare wote ni wafupi ??


sio kweli!MmmmmmhSipendi majaribu mimi, haki zitakuwa dhambi zako mwenyewe.
We ghuna tu!Mmmmmmh
amu inaonyesha unatujua vizuri wasukuma
Habari za mida JaelWe ghuna tu!
Salama Ely!Habari za mida Jael
Sawaamu inaonyesha unatujua vizuri wasukuma
Ebu agiza chochote hapo ulipo mwambie atakaye kuhudumia bili kwa msukuma
