T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,931
- 30,082
Hahahaha......Mwenyewe
Umepita kapa hujaelewa chochote/lolote Zoë
Kwa kweli mwenyewe
Hahahaha......Mwenyewe
Hapana mimi siyo mkuryaWewe ni mkurya?
Nenda hospitali.
Pole sana mkuu. Imekuwaje tena?Ajali haina kingaView attachment 1484951
Akhsante sana mkuuPole sana mkuu. Imekuwaje tena?
Basi ndiyo maanaHapana mimi siyo mkurya
Mimi ni msukuma wa Bariadi-Simiyu
Kwa kuwa ni michubuko tu utapona fasta. Mbaya kuvunjika mifupa.Akhsante sana mkuu
Ajali ya pikipiki/bodaboda
Bhasi ndiyo maana nini tena Zoë?Basi ndiyo maana
Akhsante mkuu japo kidonda kimechimbika kidogo ndani ila sijashonwa uziKwa kuwa ni michubuko tu utapona fasta. Mbaya kuvunjika mifupa.
Pole sana.Akhsante mkuu japo kidonda kimechimbika kidogo ndani ila sijashonwa uzi
Nashukuru mkuu. Nipo na wana kitaa tunamalizia weekend hapa.Akhsante sana mkuu
Vipi kwema lakini
Hahahaaa halafu nimekumbuka kuna siku tulienda sehemu fulani mie na rafiki yangu wanaongea lugha hatuielewi.Hahahaha......
Umepita kapa hujaelewa chochote/lolote Zoë
Kwa kweli mwenyewe
Wasukuma na Wakurya mna ugomvi na "l" sijuiBhasi ndiyo maana nini tena Zoë?
Hivi wasukuma sio wabahili kama wapare eehHapana mimi siyo mkurya
Mimi ni msukuma wa Bariadi-Simiyu



Hahahaha.....Hiyo ndo dawa ya kuwa sehemu halafu watu wanaongea lugha ambayo wewe huielewi.Hahahaaa halafu nimekumbuka kuna siku tulienda sehemu fulani mie na rafiki yangu wanaongea lugha hatuielewi.
Sie tulienda zetu kujizururia tu sasa wakati tunavuka barabara akapita jamaa mmoja speed na baiskeli yaani alitukosakosa ilibaki kidogo atugonge.
Sasa akatuongelesha maneno kwa ile lugha yao hatukuelewa yule rafiki yangu akadakia kwa nguvu "MWENYEWE" pale barabarani mbele za watu haki nilicheka.


Hahaha....Huwezi kuwa mwanaume wa kisukuma halafu ukawa bahili JaelHivi wasukuma sio wabahili kama wapare eeh![]()

Msukuma yes.Hivi wasukuma sio wabahili kama wapare eeh![]()
Hahaha....Ai(I) au elo(L) au ara(R)?Wasukuma na Wakurya mna ugomvi na "l" sijui
Akhsante kwa kukazia na kuweka Yes kwa wanaume wa kisukuma amuMsukuma yes.
Achana na mpare.
Msukuma akiwa rais anweza kukuhonga bahari ya hindi.


msukuma akiwa?