Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha......

Umepita kapa hujaelewa chochote/lolote Zoë

Kwa kweli mwenyewe
Hahahaaa halafu nimekumbuka kuna siku tulienda sehemu fulani mie na rafiki yangu wanaongea lugha hatuielewi.

Sie tulienda zetu kujizururia tu sasa wakati tunavuka barabara akapita jamaa mmoja speed na baiskeli yaani alitukosakosa ilibaki kidogo atugonge.

Sasa akatuongelesha maneno kwa ile lugha yao hatukuelewa yule rafiki yangu akadakia kwa nguvu "MWENYEWE" pale barabarani mbele za watu haki nilicheka.
 
Hahahaaa halafu nimekumbuka kuna siku tulienda sehemu fulani mie na rafiki yangu wanaongea lugha hatuielewi.

Sie tulienda zetu kujizururia tu sasa wakati tunavuka barabara akapita jamaa mmoja speed na baiskeli yaani alitukosakosa ilibaki kidogo atugonge.

Sasa akatuongelesha maneno kwa ile lugha yao hatukuelewa yule rafiki yangu akadakia kwa nguvu "MWENYEWE" pale barabarani mbele za watu haki nilicheka.
Hahahaha.....Hiyo ndo dawa ya kuwa sehemu halafu watu wanaongea lugha ambayo wewe huielewi.

Akiongea halafu huelewi ni kusema mwenyewe ili hata kama ameongea tusi limurudie
 
Back
Top Bottom