Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Me sijui unayatoaga wapi ili ndo umenirithisha
Mimi nasingiziwa jamani, hayo majibu umerithi kwa baba yako. Maana kile kichwa sijawahi kukielewa.Me sijui unayatoaga wapi ili ndo umenirithisha
Ila afadhali wewe mrefu, ila ubahili tu ndio tatizo babe![]()


tulifanyie kazi nalo litaisha tu swty!!Sawa babetulifanyie kazi nalo litaisha tu swty!!

Yupo tena wako wengi mno.Kumbe ni halisi
Kuna mtu ambaye unamfaham naye anaitwa hivo au ni unique tu
we haya tu!
Ilà sio wafupi bwana, ni vile watu wamekuwa na perception hiyo ilà kuna giants wengi tu na shotii pia wapo wengi tu.



oohh kwahiyo hapa tuchukulie kuwa in every general rule there's always an exceptionHaha hiyo ni kawaida mkuu maana hiyo crips ni kibongobongo. Ni kama tu tulivyozoea kusema frampeni badala ya frying pan.Inawezekana kweli alikuwa hawezi kutamka,mimi mpaka leo kutamka neno crisps ni mtihani najikuta nimesema crips.
Ila afadhali wewe mrefu, ila ubahili tu ndio tatizo babe![]()
hellow
Mmhh hapana Heaven Sent hajakufikia kwa majibu unamsingizia. Bora hata ungeniambia unatoa kwa Khantwe ningekubali.
Huyo namba 2 uliyem-mention ni balaa na nusuMmhh hapana Heaven Sent hajakufikia kwa majibu unamsingizia. Bora hata ungeniambia unatoa kwa Khantwe ningekubali.
Cc Saint Anne
I miss you tonsHello babes



I miss you tons
Bado nasubiri picha eti, naomba tu usiniambie niendelee kumtazamia Bwana.
![]()
![]()
Huyo namba 2 uliyem-mention ni balaa na nusu



haki ya nani aiseeeHahaha unajitabiria jibu kabisa. Basi endelea kuchochea karama yako ya "uvumilivu". Missing you loads





daah basi dada yaishe, haya majibu nisije nikaanza kuamini kauli ya mama yako.daah basi dada yaishe, haya majibu nisije nikaanza kuamini kauli ya mama yako.