T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,931
- 30,082
Sawa mkuu tuko pamojaNashukuru mkuu. Nipo na wana kitaa tunamalizia weekend hapa.
Sawa mkuu tuko pamojaNashukuru mkuu. Nipo na wana kitaa tunamalizia weekend hapa.
Hahahaha.....Hiyo ndo dawa ya kuwa sehemu halafu watu wanaongea lugha ambayo wewe huielewi.
Akiongea halafu huelewi ni kusema mwenyewe ili hata kama ameongea tusi limurudie![]()



kwa kweliIla ni wababe na walalamishiHahaha....Huwezi kuwa mwanaume wa kisukuma halafu ukawa bahili Jael
Wanaume wa kisukuma tunasifika nchi nzima na dunia yote kuwa siyo bahili
Tunaongoza kwa kupenda/kupendwa/kujali/kuthamini na kuheshimu kila mtu........
Karibu Jael![]()
Kama naniliu alivyohonga wizara ya madiniMsukuma yes.
Achana na mpare.
Msukuma akiwa rais anweza kukuhonga bahari ya hindi.


Mna ugomvi na "L" aiseHahaha....Ai(I) au elo(L) au ara(R)?
Mmmh....wanaume wa kisukuma awe mbabe ?Ila ni wababe na walalamishi
Kama naniliu alivyohonga wizara ya madini![]()
Inasemekana hata Kule kwa kidotiUsihofu babe

Sipendi majaribu mimi, haki zitakuwa dhambi zako mwenyewe.Hahaha....Huwezi kuwa mwanaume wa kisukuma halafu ukawa bahili Jael
Wanaume wa kisukuma tunasifika nchi nzima na dunia yote kuwa siyo bahili
Tunaongoza kwa kupenda/kupendwa/kujali/kuthamini na kuheshimu kila mtu........
Karibu Jael![]()
@Eli79 moyo u radhi ila account i dhaifuMsukuma yes.
Achana na mpare.
Msukuma akiwa rais anweza kukuhonga bahari ya hindi.







Ndio si mnamuona hata baba yenu alivyo hana heshima kwa wanawakeMmmh....wanaume wa kisukuma awe mbabe ?
Hapana kwa kweli Zoe
Nilijua unanipenda mdogo wangu, kumbe dah!!!Msukuma yes.
Achana na mpare.
Msukuma akiwa rais anweza kukuhonga bahari ya hindi.



Utapata unachotaka babe@Eli79 moyo u radhi ila account i dhaifu![]()
hivi huniamini tena babe?![]()
![]()
![]()
Inasemekana hata Kule kwa kidoti



ila huyu kahonga wengi jamani acha tu, sema tusimshangae sana maana shosti yake 'robati' alitaka kuhonga nchi kabisa pale sasa ndiyo warhode wakaona huyu anatuzoea vibaya.We si nilikuambia nakuja unifundishe kizulu. Nitatafsiriwa neno moja moja mpaka lini.Ungesema utafsiriwe tu![]()
Pale wanaposalia Shabokas.ila huyu kahonga wengi jamani acha tu, sema tusimshangae sana maana shosti yake 'robati' alitaka kuhonga nchi kabisa pale sasa ndiyo warhode wakaona huyu anatuzoea vibaya.