Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yanani siku hiyo ulinipa mawazo nikasema kwani kumnunulia chakula siku hiyo kuna shida gani? Ila nikakumbuka wewe ni mpare. Kweli bana in a relationship don't invest what you can't afford to lose; mpare hutaki mazoea na pesa yako. Btw ulikuwa unawapa info before kuwa waje wamekula kabisa au ulikuwa unawaambaije? teh
ilà sis darling umekuwaje?
 
Dawa
20200621_180544.jpg
 
Yanani siku hiyo ulinipa mawazo nikasema kwani kumnunulia chakula siku hiyo kuna shida gani? Ila nikakumbuka wewe ni mpare. Kweli bana in arelationship don't invest what you can't afford to lose; mpare hutaki mazoea na pesa yako. Btw ulikuwa unawapa info before kuwa waje wamekula kabisa au ulikuwa unawaambaije? teh
kumbe na wewe mchokozi sio. Sikuwa na maana hiyo uliyodhani, nilimaanisha siku ya kwanza kuonana sio siku ya kunywa pombe, kulewa na ku-misbehave kwa mtu msiyejuana. Ikibidu soft drinks tu, basi hata "wali maharage" sio vibaya
 
Aaaah basi mimi nikawaza nikasema huyu mpare sasa ameshindikana mweeh
kumbe na wewe mchokozi sio. Sikuwa na maana hiyo uliyodhani, nilimaanisha siku ya kwanza kuonana sio siku ya kunywa pombe, kulewa na ku-misbehave kwa mtu msiyejuana. Ikibidu soft drinks tu, basi hata "wali maharage" sio vibaya
 
Back
Top Bottom