Naona mapicha mapicha tu
Newcomer weka picha
Naona mapicha mapicha tu
Nmedumisha mila....kimasai chetu
Sasa hao ndio Msosi kwetu Mkuu
Leo mchana ndio kama hivi
Vilulu na bukari ,na sombe
Karibuni bandugu,tukulye View attachment 1284436View attachment 1284440View attachment 1284442
Mbona utamuangukia kichwAni duuuhMzigo mzito huu,tunafikaje tunapoelekea?View attachment 1284640
just asking... Halafu niiweke kwenye motion picture ya fast and furious?
zipo app nyingi tu google store zinazoweza kutengeneza GIF. kwa mfano mimi natumia app inaitwa gif maker. haina complications, user friendly app.
but make sure umerokodi video katika format nzuri na quality ya video iwe kubwa ili hata ikiwa complesed kwenye gif , ubora ubaki kuwa juu.
View attachment 1284605
unaweza mzee baba.Sorry naweza kutengeneza gif ya pilau na kachumbari?just asking... Halafu niiweke kwenye motion picture ya fast and furious?
Otimbi na timbilio..Ikute hapo nimemaliza Remy Martin sasa...
Afu tunashusha zetu mapazia..![]()
Haha unaropokwa au sio...dah me siongeagi, cha zaidi nitageuka Shakira kama sio Ray C 😂😂😂 afu usingizi + ...... If u know u know 💃eti down to the earth,, hata mie nikilewa nakuwa sina aibu kabisa huwa naongea vibaya hovyo lakini uzuri ni kwamba nikirudi kuwa sober huwa nakumbuka yote niliyoyaongea..
HapanaUnakijua?
Njozi njema dogoUsiku mwema.
Nice smile...Hahaha wakishinda me natoa emojView attachment 1284677
Mapema sana,Njoo tuangalie videooUsiku mwema.