sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Nani huyo? Au ni @karma
Ngoja tumuite mwenye nayo
Ngoja tumuite mwenye nayo
Unakumbuka enzi za negativu mkuu,ile ya ya kwenda studio unaenda kusafisha picha ,basi ngoja nikaisafishe hii mkuu hahahaAmbition plus View attachment 1284667
Dah Depal kumbuka kutunza ahadi plz nitakua wa kwanza kukumbushaHahaha wakishinda me natoa emojView attachment 1284677
mekumisiMy,.
![]()
hadi nikakatuma katoto ka jirani kakuletee barua yangu, sijui kama kamefikishaMchana mwemaUsiku mwema.
Mekuhamu pia dear!!mekumisihadi nikakatuma katoto ka jirani kakuletee barua yangu, sijui kama kamefikisha
Naiba upendo huu mwambie mtu8 namsalimiaMy,.
![]()
Oooh great...sasa ni muda wa wewe kufunguaMekuhamu pia dear!!
Katoto kamechelewaa kalikuwa kanacheza njiani! Tho kamefikisha salama kabisaa my dear!
with
nakuisoma 
Aluuuuuuuuuuuu kuna watu mmebarikiwa uzuri jomani ,
Wachaaa.
Hahahah...love n peace baba paroko (sijui nimepatia)Naiba upendo huu mwambie mtu8 namsalimia
Mkuu kama yupo period mkuu wewe si ulianzishaga uzi ule wa sodoma
Nimekuja eti nimesikia umeniitaNgoja tumuite mwenye nayo
Nitarudi hewani baada ya game ya man u vs man city kuisha
AimennnDah... That's Jr's young sissy