Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Za mbagala nipo
Harufu samaki si samaki panya si panya
mie nilipanda za Gomz, sasa kuna mkaka alisimama pembeni yangu, afu kaweka mlegezo, boxer linaonekanaa lichafuu hilo balaaa, harufu yake sasa afu yeye yuko mkavuu hata hastukiii.

Aliniboaa balaa yule kaka, mxxxxiiiiieeeew zake.
 
uduguu nina heka heka mie, ni vilee nafanya ujinga kwa akili afu naangalia mazingira, nikiwa pekee angu mambo nayofanyaa hadi najiuliza kichwani nimeweka akili au udongo wa mfinyanziii.

kuna Dr mwenye masters yake, yuko hapo Moro hospital ya mkoa, kaanza kunifatilia tangu niko 4m 5, mie namkataaa, haendani na mie kabisaa, naogopaa kumpa manjegeka yanguu.

Nikijiangalia u kichwa maji wangu, huyu kaka ataua wagonjwa wa watu buree kwa stress nitakazompaa,


Hatareeeee!!!
Wee huyo dr mbona ana balaa uduguu.!! Anataka njegeka la kidampa atawezana nalo kweli?? Au anataka kutelekeza familia 😂😂😂😂

Jiachie uduguu wangu weeeh.!! Ba tamu mwambie akae kwa kutulia kwanza 🤣
 
Jeshi la police lipo makini na huu uchochezi unataka kufanya
Unazunguka sana bana km sio mjanja 😂😂😂
Huyo mtoto mwenyewe kakuelewa basi tyuu unazingua, unapewa pasi unashindwa kuweka wavuni..!! Winga namna gani?!! 🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 

Attachments

  • FB_IMG_1718730658855.jpg
    FB_IMG_1718730658855.jpg
    29.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom