cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
dada Jitahidi uwe una kunywa maji ya uvugu asubui hata nusu Lita.Kuna kipindi nilijaribu kubadili vyakula lakini nikagundua sishibi na ninatumia hela nyingi
Asubuhi 1/2 ya maziwa nikila yenyewe sishibi hapo lazima nishindilie na mihogo
Mchana nile samaki na mboga hapana lazima nishushie na ugali au ndizi ndo nitajisikia good kidogo usiku najitahidi
We Coca kingine unataka kikae wapi???😲 😳 Au kale kamwili kako kameongezeka siku hizi???Mwenyejiii mie sishibi, au kipo kingineee.
We Coca kingine unataka kikae wapi???![]()
Au kale kamwili kako kameongezeka siku hizi???
Hicho chenyewe kilibaki tukapata lunch
View attachment 3020798



ka mwili kameongezeka kiduchuu, ila siku hizi nakulaa sanaa.Kama mwili unaruhusu, kula mwaya!!!ka mwili kameongezeka kiduchuu, ila siku hizi nakulaa sanaa.
Wooow!!Kama mwili unaruhusu, kula mwaya!!!
Kuhusu nywele...Keep it like that!![]()



Usilie sana selfika basiDah nimelia sana 😭
Duuuh nchi kubwa aseeee hiiHuku mvua kbs sema saivi ni rasha rasha tu zinapiga
Uduguu pambeee 😍😍😍😍Lamomy na Dr Lizzy
Je niache hivi au? Maana nimependa zile dreads alizosuka Noel.
Nimeshawishika, sasa kuna mtu kanambia nikiweka dreads nitachekesha umma.
Au ndo bichwa langu halifai kwa dreads?View attachment 3020797
Wifi kichwani unasuka au umenyoa? Au baridi mnavaa mizula 😂Duuuh nchi kubwa aseeee hii
😂😂Nmesuka nkachoka,,nkasokota rasi nkachoka,, nmenyoa kwasasa.Wifi kichwani unasuka au umenyoa? Au baridi mnavaa mizula 😂
Uduguuu unajua nimemuonea wivu Noel, zile dreads anavo zishika shika na kuzirushaaa, yaan had wivu haswaa.Uduguu pambeee
baki huko huko soon na mimi narudi nimechoka kuvaa mawig na kuvutwa ubongo![]()





Tupia tuone basi hiyo low cut, wifiyo niko na mawig mpk yaombe poo 😂😂😂😂😂Nmesuka nkachoka,,nkasokota rasi nkachoka,, nmenyoa kwasasa.
sijawahi miliki wala kuvaa mawigi mimi😂😂uone ili uigeTupia tuone basi hiyo low cut, wifiyo niko na mawig mpk yaombe poo 😂😂😂
Leo ni mwendo wa masweta tangu asubuh hali ya hewa ni njombe tupuDuuuh nchi kubwa aseeee hii
Kwahiyo ww Noel ndo kakushawishi?? Baki hivyo hivyo bana, mi natamani kurudi nilikotoka kwenye low cut. Leo nilikuwa natazama pic zangu nimewaza nataka nifanye maamuzi magumu. 😂😂😂😂Uduguuu unajua nimemuonea wivu Noel, zile dreads anavo zishika shika na kuzirushaaa, yaan had wivu haswaa.
Tatizo kuna li mtu limeni cancel kuwa eti nikisuka dreads ntachekesha.
![]()
Weka nawe tuige style 😂sijawahi miliki wala kuvaa mawigi mimi😂😂uone ili uige