Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna kipindi nilijaribu kubadili vyakula lakini nikagundua sishibi na ninatumia hela nyingi
Asubuhi 1/2 ya maziwa nikila yenyewe sishibi hapo lazima nishindilie na mihogo

Mchana nile samaki na mboga hapana lazima nishushie na ugali au ndizi ndo nitajisikia good kidogo usiku najitahidi
dada Jitahidi uwe una kunywa maji ya uvugu asubui hata nusu Lita.
Kisha weka na limao, Ina saidia kupunguza mwili
 
The vibe
FB_IMG_17183581958723488.jpg
 
Uduguu pambeee
baki huko huko soon na mimi narudi nimechoka kuvaa mawig na kuvutwa ubongo
Uduguuu unajua nimemuonea wivu Noel, zile dreads anavo zishika shika na kuzirushaaa, yaan had wivu haswaa.

Tatizo kuna li mtu limeni cancel kuwa eti nikisuka dreads ntachekesha.

 
Uduguuu unajua nimemuonea wivu Noel, zile dreads anavo zishika shika na kuzirushaaa, yaan had wivu haswaa.

Tatizo kuna li mtu limeni cancel kuwa eti nikisuka dreads ntachekesha.

Kwahiyo ww Noel ndo kakushawishi?? Baki hivyo hivyo bana, mi natamani kurudi nilikotoka kwenye low cut. Leo nilikuwa natazama pic zangu nimewaza nataka nifanye maamuzi magumu. 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom