Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee huyo dr mbona ana balaa uduguu.!! Anataka njegeka la kidampa atawezana nalo kweli?? Au anataka kutelekeza familia

Jiachie uduguu wangu weeeh.!! Ba tamu mwambie akae kwa kautulia kwanza
tena kidampaa mcharukooo? Mie nikiweka vyeti pembenii, nabakiwa na heka heka za kushatooo.

Raha ya kusoma unagombaniwa na wasomi na wenye status zao.

Wee huogopiiiii?

Huyuu ba tamu, bado sija muamuliaa mbona hata amini, wee muache tyuu.
 
tena kidampaa mcharukooo? Mie nikiweka vyeti pembenii, nabakiwa na heka heka za kushatooo.

Raha ya kusoma unagombaniwa na wasomi na wenye status zao.

Wee huogopiiiii?

Huyuu ba tamu, bado sija muamuliaa mbona hata amini, wee muache tyuu.
Oyooooo.!!! Say it loudddddd uduguu huku nyuma hawajasikia.!! 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️ Raha ya nini??

Mwambie ba tamu engineer unagombaniwa na KAZI UNAIWEZAAAAA 🤣🤣🤣🤣👌👌👌
Mbona pambeeee tyuuuu.!!
 
You are always don't want peace Mjukuu 🙌

Hivi huna huruma na Wazee?
Babu nchi ishauzwa amani itoke wapi?? 😂😂😂
Mzee wewe unawapelekea motrooo mpk wanaomba poh 🤣🤣🤣
Babu Shikilia hapo hapo usiachie, channel zote zinakamata kwako, pesa unazo na KAZI UNAIWEZAAAAAAA!! Woyoooooo!!
 
Oyooooo.!!! Say it loudddddd uduguu huku nyuma hawajasikia.!! Raha ya nini??

Mwambie ba tamu engineer unagombaniwa na KAZI UNAIWEZAAAAA
Mbona pambeeee tyuuuu.!!
Rahaa ya kukalia dawatiiiiiiii!!! Nyie kidampa anazama COET
Watu wanashangaaa tyuuu, kidampaa anavaa joho afu bila sup wala carry? Nyie hamuogopiiiiiii???

ba tamu mwenyewee anaona faharii kumilikiii chomboo kilichopiga PCM.

wapiiii tanter, wapiii Chand, wapi mechanics, hujagusa projectile motion.

Muacheniiii atambeeeeeee!!!!
 
Rahaa ya kukalia dawatiiiiiiii!!! Nyie kidampa anazama COET
Watu wanashangaaa tyuuu, kidampaa anavaa joho afu bila sup wala carry? Nyie hamuogopiiiiiii???

ba tamu mwenyewee anaona faharii kumilikiii chomboo kilichopiga PCM.

wapiiii tanter, wapiii Chand, wapi mechanics, hujagusa projectile motion.

Muacheniiii atambeeeeeee!!!!
KIDAMPA umeweza, 🙌 umeweza 🙌 umeweza treenaaaaaahh. 🙌🙌🙌🙌🙌

Wakuache utambe Joho umevaa na umetamba nalo, anayekataa ANYE BOGA 🤣🤣🤣🤣

Na wakuachee humu jf kwa raha zakoooo.!! Na zile dreads km za Noel kaweekee uduguu wapasuke vizuri 🤣🤣🤣🤣
 
KIDAMPA umeweza, umeweza umeweza treenaaaaaahh.

Wakuache utambe Joho umevaa na umetamba nalo, anayekataa ANYE BOGA

Na wakuachee humu jf kwa raha zakoooo.!! Na zile dreads km za Noel kaweekee uduguu wapasuke vizuri
mtaani utasikia "usimuonee hivyoo amesoma huyoo"

Bas kidampaaaa kichwa hikooo, vijana uchwaraa wanaanzajee kumsogeleaa? Classmates wake wanamuendea kwa nywilaaa na adabu.

Wasomii na mabosss tyuu ndo wanao mfata, afu nyota anayoo, kidampa kuwekwa wazi kwa umma, kuwa yuko na boss kubwa, nyie hamuogopiii tyuuu?

Sasa anaachaje kutrambaaaaa na kujikubaliiiiii? Amefanya ambavyo straight uchwaraaa wameshindwaaaa, nyiee hamuogopiiiii.

uduguuu nimelewaa kabla ya kunywaa.
 
mtaani utasikia "usimuonee hivyoo amesoma huyoo"

Bas kidampaaaa kichwa hikooo, vijana uchwaraa wanaanzajee kumsogeleaa? Classmates wake wanamuendea kwa nywilaaa na adabu.

Wasomii na mabosss tyuu ndo wanao mfata, afu nyota anayoo, kidampa kuwekwa wazi kwa umma, kuwa yuko na boss kubwa, nyie hamuogopiii tyuuu?

Sasa anaachaje kutrambaaaaa na kujikubaliiiiii? Amefanya ambavyo straight uchwaraaa wameshindwaaaa, nyiee hamuogopiiiii.

uduguuu nimelewaa kabla ya kunywaa.
😂😂😂😂😂😂 Boss kubwa la kampuni lilikutambulisha likaacha hao wanaojiita pisi kali, wao hawaogopi???!!
Uduguu ulijua kumkamata boss kila uzi “wife wangu coca” basi nyakunyaku wananuna mashavu km andazi la kiyahudi 🤣🤣🤣🤣🤣

Umejua kupambana uduguu ile ligi sio mchezo huku nyakunyaku, huku vidampa wa mwendokasi…… uduguuu una nyotraaa kali buana.!! 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

Na kuwakomesha mrudishe kwa kasi ya 5G wapasuke na panya waliojificha mapangoni wote watoke, na atakayeinua kichwa tunakiponda wee huogopi..!! Ww ndo ndimu mkata shombo, kabali yao.!! Weeeeeh jamaaaaah Naona raha miyeeee 😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Boss kubwa la kampuni lilikutambulisha likaacha hao wanaojiita pisi kali, wao hawaogopi???!!
Uduguu ulijua kumkamata boss kila uzi “wife wangu coca” basi nyakunyaku wananuna mashavu km andazi la kiyahudi

Umejua kupambana uduguu ile ligi sio mchezo huku nyakunyaku, huku vidampa wa mwendokasi…… uduguuu una nyotraaa kali buana.!!

Na kuwakomesha mrudishe kwa kasi ya 5G wapasuke na panya waliojificha mapangoni wote watoke, na atakayeinua kichwa tunakiponda wee huogopi..!! Ww ndo ndimu mkata shombo, kabali yao.!! Weeeeeh jamaaaaah Naona raha miyeeee
jamaniiiiii watu weuweeeeeee!!!! Wanamfata PM kumpa vijimaneno, bas anakuja tsup ananionesha vyoteee.

Na mie namjibu achana nao hao, wee nisikilize mie, bas yeye anajibu fresh, namuambia bas babee nipoozee kidogo.

Anatuma muamalaaa, nyieee nimefauduuuu.

Popote ulipoo boss kubwaa, ubarikiwe sanaaaa, huna bayaaa afu nimekumic balaaa, njooo nikuimbiee tenaaaa.

Woyoooooooooooh!!! Nimewezaaaa afu nimewezaaaa treeenaaaaa!!!!
 
Weeeh!! Akija hapa akikupelekea moto usikimbilie kwa mods, mana humu ukitaka ugomvi kujiliza kwa modes hatutaki, tunapigana bila kung’ata wala kulia 😂😂😂😂

Mimi nipo hapa ngoja aje, hili pambano lenu refa mwenyewe akifika. 😂😂😂
Aje in alikiba voice
 
jamaniiiiii watu weuweeeeeee!!!! Wanamfata PM kumpa vijimaneno, bas anakuja tsup ananionesha vyoteee.

Na mie namjibu achana nao hao, wee nisikilize mie, bas yeye anajibu fresh, namuambia bas babee nipoozee kidogo.

Anatuma muamalaaa, nyieee nimefauduuuu.

Popote ulipoo boss kubwaa, ubarikiwe sanaaaa, huna bayaaa afu nimekumic balaaa, njooo nikuimbiee tenaaaa.

Woyoooooooooooh!!! Nimewezaaaa afu nimewezaaaa treeenaaaaa!!!!
👌👌👌👌 Treeeenahhh.!!!
Honeyyyy nichanie mistari Lamomy nionnneeee rahaaa.!! 🤸‍♀️

Hawajiamini sura zimewashuka km uji uliopoa, na vimaneno vyao pm ndio wameambiwa watampata bwana ovyooooo.!!! Wenzao wakituma tunaonyeshwa alafu tunawacheka hihiiiiii, HAMTUSHUHULISHI 😂😂😂😂

Na kwa taarifa yao piem zao nyingine tunawajibu sisi huku tunawadharau watoka pabaya, wasojua kupendwa wakatulia.!!
Sura chachu km wapolopolo waliokoswa koswa na kifusi mgodini 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Weeeh!! Akija hapa akikupelekea moto usikimbilie kwa mods, mana humu ukitaka ugomvi kujiliza kwa modes hatutaki, tunapigana bila kung’ata wala kulia 😂😂😂😂

Mimi nipo hapa ngoja aje, hili pambano lenu refa mwenyewe akifika. 😂😂😂
Huku sio sehemu ya kupigana ni kutoa hoja tu 😂😁 Cc Hope urassa
 
Aje in alikiba voice
Mbona kinyonge 😂😂😂
Wewe nakujua ukizidiwa unaitaga modes, na maba naye namjua weakness zake anajifanya anakaza ila pembeni anaripoti.!! Sasa km refa wa mchezo sitaki kuona hilo 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom