cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Wee huyo dr mbona ana balaa uduguu.!! Anataka njegeka la kidampa atawezana nalo kweli?? Au anataka kutelekeza familia
Jiachie uduguu wangu weeeh.!! Ba tamu mwambie akae kwa kautulia kwanza![]()




tena kidampaa mcharukooo? Mie nikiweka vyeti pembenii, nabakiwa na heka heka za kushatooo.Raha ya kusoma unagombaniwa na wasomi na wenye status zao.
Wee huogopiiiii?






Huyuu ba tamu, bado sija muamuliaa mbona hata amini, wee muache tyuu.


umeweza 