sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
๐๐๐๐Hahaha.......poleni Mkuu, bora wengine tumezeeka tu ๐ ๐
Hivi kuna dawa za kupunguza nguvu za kike??
Kuna MTU inabidi apewe
๐๐๐๐Hahaha.......poleni Mkuu, bora wengine tumezeeka tu ๐ ๐
Mi na michezo ya wavuta ndumu wapi na wapi??Unaiweza au kiuno ndo vle tena
Utaenda kwa bibi wa bk babu ๐คฃWe Mjukuu acha kunigombanisha na Bibi yako, hivi na hili baridi Bibi yenu akikasirika na kuhama Kitanda si litaniua Babu yenu ๐
Kuweni na huruma na Wazee ๐ค
Mbususu mbususus mbsususu
Mie vyote sina
Ok sana kumbe mnataka bao nyingi eeh
๐๐๐NdumuMi na michezo ya wavuta ndumu wapi na wapi??
Aisee kwani ukiuliza shida iko wapi
uliifanya wrong, hakuna diet inayofanywa properly na isifanye kaziNilifanya diet lakini nilizidi tu kunenepa nimeamua nile ninavyojisikia
Sawa mkuu! Hongera kua kwa kua na mwili mzuriProbably
uliifanya wrong, hakuna diet inayofanywa properly na isifanye kazi
lisiwahi rudi kwakwelUvivu huo! Kemea hilo pepo
Mkuu sina mwili mzuri i was fat๐ but diet and exercise ndio zimenifikisha hapa , ila diet haihusishi kutokula kabisa ila kutokula chakula chochote chenye wanga aka sukari, nnakuhakikishia 3 months unaona changes, plus kutembea km 5 kila siku, usipopungua niite tapeli๐Sawa mkuu! Hongera kua kwa kua na mwili mzuri
Kwa hali ya hewa hii Leo tena utalala mapemalisiwahi rudi kwakwel
Kuna kipindi nilijaribu kubadili vyakula lakini nikagundua sishibi na ninatumia hela nyingiMkuu sina mwili mzuri i was fat๐ but diet and exercise ndio zimenifikisha hapa , ila diet haihusishi kutokula kabisa ila kutokula chakula chochote chenye wanga aka sukari, nnakuhakikishia 3 months unaona changes, plus kutembea km 5 kila siku, usipopungua niite tapeli๐
Sina hata kimoja ๐คจ
Kwakweli mganga wako sio tapeli babu ๐Hongera kurudi salama Mjukuu, hata hivyo tushukuru zile dawa zetu za asili kufanya kazi ,maana bila hivyo ulikuwa unahamia huko huko Dubai, yaani unakaa Dubai miaka 10 yote bila kuja kutusalimia Wazee wako ๐