CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Build upper body, miluzi izidi😌Sawa
Build upper body, miluzi izidi😌Sawa
nalea😂😂Si naona anavyojikanyaga na ww umekaza 😂😂😂
Mwenzio kakazana mvua na baridi kali hata humuelewi 🤣
Go for itYeah! Nitajitahidi kitambi kiondoke
Nimecheka km chizi we coca
Umevaa kijora?!! Hebu weka nione uduguu.!! Mwambie shem naenda kuchukua kingine nna dada muuza vijora, yy haogopi??
Kuachana na mtu uliyemzoea kazi, mi kuna muda nikimmiss shem wako nawaza kumrudisha.!! Kuna vituko vyake flani vinanivunjaga mbavu nikivikumbuka. Kuna siku aligoma kuvaa nguo akawa anazunguka nyumba nzima na kengele zake halafu anacheza
Nikasema huyu watu wanaomuheshimu wangekuwa wanamuona sijui ingekuwaje?!!




uduguu nina heka heka mie, ni vilee nafanya ujinga kwa akili afu naangalia mazingira, nikiwa pekee angu mambo nayofanyaa hadi najiuliza kichwani nimeweka akili au udongo wa mfinyanziii.


kuna Dr mwenye masters yake, yuko hapo Moro hospital ya mkoa, kaanza kunifatilia tangu niko 4m 5, mie namkataaa, haendani na mie kabisaa, naogopaa kumpa manjegeka yanguu.




Jeshi la police lipo makini na huu uchochezi unataka kufanyaUsizuge na kuzunguka sana wakati wenye D 2 tushajua nini unataka 😂😂😂
Ms R ni muda sasa umewadia umfungulie piem huyu mtu mkayaongee.!! 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Wee kiocra changu unakisema sana ebu njoo ukionje basiKumbe mlikulana? 😂😂😂
Watu mna siri, uduguu hujakipiga picha kiokra tusafishe macho 😜
Naam Raha ya kondoo mkiaaaa mkiaaaaFanya simple diet, mchana kutwa shindilia Ila usile usiku.....
Usijikondeshe sana....mwanamke nyama nyama bwana.
Mwanangu anakupenda ukiwa mnene.Kuna kipindi nilijaribu kubadili vyakula lakini nikagundua sishibi na ninatumia hela nyingi
Asubuhi 1/2 ya maziwa nikila yenyewe sishibi hapo lazima nishindilie na mihogo
Mchana nile samaki na mboga hapana lazima nishushie na ugali au ndizi ndo nitajisikia good kidogo usiku najitahidi
Mkwe Una matatizo yako Acha kusingizia. Pole kuna dawa ya kuzuia kifua kisibane. Nitakuelekeza badaeHali ya hewa hii wakaka badilisheni boxer kila siku na muoge!
Nipo kwenye gari watu nyomii nimeegemewa na wakaka hiyo harufu hadi mbavu zinanibana
Mkwe sipungui ng'oo ila natAka kupunguza kitambi ili nikisimama mwanao amuone rafiki yake vizuri sababu sasa hivi kumuona hadi achuchumae achungulieMwanangu anakupenda ukiwa mnene.
Wewe unataka upungue ili iweje labda?
Achana na wakina engineer coca vimbau mbau hao.
Mkwe! Unawatetea wanaume wenzakoMkwe Una matatizo yako Acha kusingizia. Pole kuna dawa ya kuzuia kifua kisibane. Nitakuelekeza badae
Hicho kitambi ndio saafi, mwanangu nayeye awe na kitambi mnapendeza.Mkwe sipungui ng'oo ila natAka kupunguza kitambi ili nikisimama mwanao amuone rafiki yake vizuri sababu sasa hivi kumuona hadi achuchumae achungulie
Hali ya hewa hii wakaka badilisheni boxer kila siku na muoge!
Nipo kwenye gari watu nyomii nimeegemewa na wakaka hiyo harufu hadi mbavu zinanibana



dala dala za wapiiii? Jamani za Gomz au mbagala wakaka ni wachafu na wananukaa balaaa.Nataka nikupe dawa ya kifua. Nikupake mwenyewe kifua ndio dawa itafanya Kazi.Mkwe! Unawatetea wanaume wenzako
Wakishua hamjui joto la dardala dala za wapiiii? Jamani za Gomz au mbagala wakaka ni wachafu na wananukaa balaaa.
Nilijuta ile siku, sitakii tenaa irudiee, woiiiiiij
Amka baba mkwe unajikojolea..!🤸Nataka nikupe dawa ya kifua. Nikupake mwenyewe kifua ndio dawa itafanya Kazi.
Hiyo dawa ili iingie vizuri mwilini lazima niipake Mimi. Na sio MTU mwingine...Nipe namba ya mama mkwe anifundishe
Endelea kuotaHiyo dawa ili iingie vizuri mwilini lazima niipake Mimi. Na sio MTU mwingine...
Ukiwa mbishi hutapona, binti