Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwahiyo ww Noel ndo kakushawishi?? Baki hivyo hivyo bana, mi natamani kurudi nilikotoka kwenye low cut. Leo nilikuwa natazama pic zangu nimewaza nataka nifanye maamuzi magumu.
ila ntakuja kuweka dreads, nakaa nazo week afu nanyoaa zote.

Lazima nijue nikiwa na dreads nakuajee, woiiiih
 
ila ntakuja kuweka dreads, nakaa nazo week afu nanyoaa zote.

Lazima nijue nikiwa na dreads nakuajee, woiiiih
😂😂😂😂 Mimi nilitamanigi kuna kipindi ila shem wako akasema ukianza kusokota dread huna muda utaulizia mpepe ukamilike dada Bob 🤣

Nikaishia kusuka butterfly locks
 
Mimi nilitamanigi kuna kipindi ila shem wako akasema ukianza kusokota dread huna muda utaulizia mpepe ukamilike dada Bob

Nikaishia kusuka butterfly locks
Si ndo li ba tamu hili limeni cancel, linasema ukiweka dreads utadharaurika mara mia, yule noel ni designer wee je?
Nimechokaa hoiii,

Ila kanitamanisha kwa kweli, nimezipendaa wallah.
 
Nimetinga sweta la traki naenjoy hali ya hewa at standard temperature & pressure (S.T.P)
Usizuge na kuzunguka sana wakati wenye D 2 tushajua nini unataka 😂😂😂
Ms R ni muda sasa umewadia umfungulie piem huyu mtu mkayaongee.!! 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Si ndo li ba tamu hili limeni cancel, linasema ukiweka dreads utadharaurika mara mia, yule noel ni designer wee je?
Nimechokaa hoiii,

Ila kanitamanisha kwa kweli, nimezipendaa wallah.
Ila shem naye jau, kudharaulika kunahusiana nini na dreads?!! 😂😂😂😂
Na wewe mwambie designer wa vijora unamsaidia dada ako anaitwa Lamomy 🤣🤣🤣
 
Ila shem naye jau, kudharaulika kunahusiana nini na dreads?!!
Na wewe mwambie designer wa vijora unamsaidia dada ako anaitwa Lamomy
nyie usinichekeshee, yaan ananichoshaa tyuu.
Sasa mie na kudharaurika kunanipa shida gani? Niache kujikubali kisa raia uchwaraaa.

Yaan huyu inafika hatua natamani kumuacha apite kule, ananiboa sometimes.

Alichana kijoraa changu, siku hiyo nimeenda kwake, niko napika nomevaa kijora changu cha chui chuii pambee, asikichanee, moyoo unauma had kesho.

Mwenzake navaaga nikiwa home nacheza taarabu.
 
nyie usinichekeshee, yaan ananichoshaa tyuu.
Sasa mie na kudharaurika kunanipa shida gani? Niache kujikubali kisa raia uchwaraaa.

Yaan huyu inafika hatua natamani kumuacha apite kule, ananiboa sometimes.

Alichana kijoraa changu, siku hiyo nimeenda kwake, niko napika nomevaa kijora changu cha chui chuii pambee, asikichanee, moyoo unauma had kesho.

Mwenzake navaaga nikiwa home nacheza taarabu.
Nimecheka km chizi we coca 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂
Umevaa kijora?!! Hebu weka nione uduguu.!! Mwambie shem naenda kuchukua kingine nna dada muuza vijora, yy haogopi?? 🤣🤣🤣

Kuachana na mtu uliyemzoea kazi, mi kuna muda nikimmiss shem wako nawaza kumrudisha.!! Kuna vituko vyake flani vinanivunjaga mbavu nikivikumbuka. Kuna siku aligoma kuvaa nguo akawa anazunguka nyumba nzima na kengele zake halafu anacheza 🤣🤣🤣🤣
Nikasema huyu watu wanaomuheshimu wangekuwa wanamuona sijui ingekuwaje?!!
 
Back
Top Bottom