Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona kinyonge 😂😂😂
Wewe nakujua ukizidiwa unaitaga modes, na maba naye namjua weakness zake anajifanya anakaza ila pembeni anaripoti.!! Sasa km refa wa mchezo sitaki kuona hilo 😂😂😂😂
Mimi sipigani na mtu anonymous
 
mtaani utasikia "usimuonee hivyoo amesoma huyoo"

Bas kidampaaaa kichwa hikooo, vijana uchwaraa wanaanzajee kumsogeleaa? Classmates wake wanamuendea kwa nywilaaa na adabu.

Wasomii na mabosss tyuu ndo wanao mfata, afu nyota anayoo, kidampa kuwekwa wazi kwa umma, kuwa yuko na boss kubwa, nyie hamuogopiii tyuuu?

Sasa anaachaje kutrambaaaaa na kujikubaliiiiii? Amefanya ambavyo straight uchwaraaa wameshindwaaaa, nyiee hamuogopiiiii.

uduguuu nimelewaa kabla ya kunywaa.
Unatumia mali yako😂
Dunia imekwisha
 
IMG_3707.jpeg
To any healthy man under 45 who hasn’t hit the gym or do a workout of any sort since the day started,!🤔

WHY ARE YOU GAY🤔?
 
Back
Top Bottom