Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,586
- 11,365
Msnambie mnaripotiana huko🤭Huku sio sehemu ya kupigana ni kutoa hoja tu 😂😁 Cc Hope urassa
Msnambie mnaripotiana huko🤭Huku sio sehemu ya kupigana ni kutoa hoja tu 😂😁 Cc Hope urassa
Mimi sipigani na mtu anonymousMbona kinyonge 😂😂😂
Wewe nakujua ukizidiwa unaitaga modes, na maba naye namjua weakness zake anajifanya anakaza ila pembeni anaripoti.!! Sasa km refa wa mchezo sitaki kuona hilo 😂😂😂😂
Ndio michezo yao wakishindwa mipambano 😂😂😂Msnambie mnaripotiana huko🤭
🤣🤣🤣🤣 Yani nimecheka, chalii unaupendaga sana ugomvi ila uvumilivu huna.!! Haya basi tulia tuendelee kuselfikaMimi sipigani na mtu anonymous
Unatumia mali yako😂mtaani utasikia "usimuonee hivyoo amesoma huyoo"
Bas kidampaaaa kichwa hikooo, vijana uchwaraa wanaanzajee kumsogeleaa? Classmates wake wanamuendea kwa nywilaaa na adabu.
Wasomii na mabosss tyuu ndo wanao mfata, afu nyota anayoo, kidampa kuwekwa wazi kwa umma, kuwa yuko na boss kubwa, nyie hamuogopiii tyuuu?
Sasa anaachaje kutrambaaaaa na kujikubaliiiiii? Amefanya ambavyo straight uchwaraaa wameshindwaaaa, nyiee hamuogopiiiii.
uduguuu nimelewaa kabla ya kunywaa.
E’m wataje hao watu kwanza 😂😂😂Huu uzi bila watu wawili wanaoujulia khali na kuuchangamsha unapoaaa
Oyoooo.!! 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Muulize Hope urassa kwanza nilimfanyaje huyo atakwambia🤣🤣🤣🤣 Yani nimecheka, chalii unaupendaga sana ugomvi ila uvumilivu huna.!! Haya basi tulia tuendelee kuselfika
Mimi nina miaka zaidi ya 40 sio chalii🤣🤣🤣🤣 Yani nimecheka, chalii unaupendaga sana ugomvi ila uvumilivu huna.!! Haya basi tulia tuendelee kuselfika
Mhmm!! Mi sikuamini mpk anko maba aje hapa.!!Muulize hope urassa kwanza nilimfanyaje huyo atakwambia
SiwaelewiMuulize @hopeurassa kwanza nilimfanyaje huyo atakwambia
Mimi sio mgomvi mbonaMhmm!! Mi sikuamini mpk anko maba aje hapa.!!
Ila sio mbaya ebu niambie ulichomfanya wakati tunamsubiri anko maba naye alete utetezi wake. Na mniambie chanzo cha ugomvi wenu
Hahahaha m mwenyewe nilitaka kujua chanzo ila sijui mpaka sasaMhmm!! Mi sikuamini mpk anko maba aje hapa.!!
Ila sio mbaya ebu niambie ulichomfanya wakati tunamsubiri anko maba naye alete utetezi wake. Na mniambie chanzo cha ugomvi wenu
Chalii si jina lako kabla hijab asili hilo la vinMimi nina miaka zaidi ya 40 sio chalii
Naomba picha nkujue tajiri wa kigamboniLeteni picha acheni story mnaharibu uzi
Weeeh nakupata vyedii labda km umeacha ss hivi.Mimi sio mgomvi mbona