100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,791
- 30,964
Best couple ya JF na picha za ku download....Yani wewe unateseka na maisha ya watu, hivi hata muda wa kuoga unao?? Yan ww umuaibishe kantry abadili id?? We kweli kidampa msungo
Best couple ya JF na picha za ku download....Yani wewe unateseka na maisha ya watu, hivi hata muda wa kuoga unao?? Yan ww umuaibishe kantry abadili id?? We kweli kidampa msungo
Kumbe unavuta bangi? AiseeeeePole, msuka mipango mwenzio kakuumbua mapema kabisa.!! Niwatakie jpili njema na mipango mema. Una lingine?? Naomba leo maliza yote unayotaka kusema sababu baada ya hapa sitakuwa na muda wa kukujibu tena.!!
Yani wewe unateseka na maisha ya watu, hivi hata muda wa kuoga unao?? Yan ww umuaibishe kantry abadili id?? We kweli kidampa msungo





😂😂😂😀 umenishindananyetukaa leo, vidolee vitaisha hivi, na joto la huku mbna vitanyekenyeka nyeeeeee.
We answar sunna, acha wenge mtasababisha huu uzi ufungwe. Vipi hajala pilau la idd nini leo?😀😃😄😁Best couple ya JF na picha za ku download....
Nilijua lazima utachanganyikiwa, unaona ulivyoanza na unavyomaliza? Hapo ndio kuvurugwa sasaHunielezi chochote we masikini....
Nikimuita mtu masikini, ujue nimekushusha daraja ya chini kabisa...
Bro tafuta pesa acha ku download picha na ku tu fool hapa eti una pisi kali.. Bob Marley alisema
You can fool some people some times but you cant fool all the people all the time...
HApa watu wana wa zoom tu wanawaona kama ma zuzu flani....
Tafuta pesa upate mwanamke mzuri uwe unapiga picha za uhalisia acha ku pretend Bro....
Wee nae em utulie jamani, kila siku kugombana na watu tyuu.Ulikua unajitia kumuita huyo coca aku support, amekukataaa....
Inadhihirisha uongo wako, ukisha fake tu picha hapa... kila mtu anajua huna lolote....
Sasa mzee hebu nibariki na selfie moja ya ku download mchana wangu ukae vyema..
Kwanini hataki kutaja vidampa wenzake?? Huyu hajikubali na hajiamini sijui anafanana na tope 😂😂😂😂Kalibadili I'd baada ya kushindwa, wenzake watatu sijui wapo wapi.
NIwahurumie kwa kweli...We answar sunna, acha wenge mtasababisha huu uzi ufungwe. Vipi hajala pilau la idd nini leo?😀😃😄😁
Nyie wapumbavu, nendeni PM. Mnatuharibia uzi wetu.Nilikuambia nachokijibu nakijua, na wala hili sidhani kama lina mjadala
Kuhusu faraja, hata mm niliikosa na kuipata kwako hivyo hivyo na ww wala haihitaji kukanusha na kutafuta ushahidi kwenye hili ikiwa ukweli unajua. Na sio dhambi, binadamu wote hupitia hiyo hali kwa kipindi flani, kukataa ni kujaribu kuuficha mnazi ndani ya nyumba
Tunawavuruga eeh 😂😂😂Best couple ya JF...
Leta chats hapa nakuruhusu ambazo nilikutongoza PM, naruhusu kabisa....




ila wee mwanaume jamani, em tulizana kwani.Hahaaaaaa hata mi nimekutoa thamani kama unakula mpepe😀😃😄😁Kwahiyo mimi mvuta mpepe? 😂😂
Ujue hii mifano yako watu watanichukulia nakula ndumu kweli humu.!! Unataka nikose wa kunitoa upweke ajue mimi kibaka!!
utahusika sababu huyu kidampa msungo unamjua vyedii




kwendraaah huko!!!! Mie ctakii bhanaaNaona unajipa moyo, ww umeambiwa jikubaliUlikua unajitia kumuita huyo coca aku support, amekukataaa....
Inadhihirisha uongo wako, ukisha fake tu picha hapa... kila mtu anajua huna lolote....
Sasa mzee hebu nibariki na selfie moja ya ku download mchana wangu ukae vyema..
Anatapatapa pa kushika hapaoni 😂😂😂😂nyie akiiii, ntapasua cm kwa kuangushaa. Lol