Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,577
Walikua watatu ukawakimbiza, wenzie wapo wapi siku hizi? Huyu ndio peke yake kakosa sokoIla country wee ni mchokoziii ujue?
Kwann lakiniii??
Walikua watatu ukawakimbiza, wenzie wapo wapi siku hizi? Huyu ndio peke yake kakosa sokoIla country wee ni mchokoziii ujue?
Kwann lakiniii??
Nawashauri waache hiko wafanyacho hao wehu. Waende PM huko kwani hapa watasababisha uzi ufungwe.kwendraaah huko!!!! Mie ctakii bhanaa
Ushavurugika haya kale pilau la iddHunielezi chochote we masikini....
Nikimuita mtu masikini, ujue nimekushusha daraja ya chini kabisa...
Bro tafuta pesa acha ku download picha na ku tu fool hapa eti una pisi kali.. Bob Marley alisema
You can fool some people some times but you cant fool all the people all the time...
HApa watu wana wa zoom tu wanawaona kama ma zuzu flani....
Tafuta pesa upate mwanamke mzuri uwe unapiga picha za uhalisia acha ku pretend Bro....
Leta picha nyingine ya ku download hapa tuburudike kwanza...Nilijua lazima utachanganyikiwa, unaona ulivyoanza na unavyomaliza? Hapo ndio kuvurugwa sasa
Kila muda nakuuliza wenzako watatu wapo wapi? Na kwa nn hutaki kujikubali? Mbona wenzio wanajikubali na maisha yanaendelea? Ushoga ni mbaya, ila imeshakua hakuna namna jikubali uwe na amani, lakini hii kuingia mtandaoni kuanza kuonea wengine wivu ni ujinga
We nawe acha upuuzi wako. Nendeni PM huko mtasababisha uzi ufungwe kwa ajili ya ujinga wenu. Mnatuboa wengine na kutuhusisha kwa mambo yasiyotuhusu. Tumekula biriani tunataka tuweke picha tukiwa na furaha ya sikukuu ya idd alafu nyie mnaleta masuala yenu ya kifala humu.Walikua watatu ukawakimbiza, wenzie wapo wapi siku hizi? Huyu ndio peke yake kakosa soko
Ulimtongoza hafu huku kumbe unamponda 🤣🤣🤣Leta chats hapa nakuruhusu ambazo nilikutongoza PM, naruhusu kabisa....
Najua hii imekupiga sana , hakuna namna..Ushavurugika haya kale pilau la idd
We maamuma. Achana na haya mambo. Umekosa kupiga cha mtume nini leo? Leo ni sikukuu, acheni ujinga wenu.Leta picha nyingine ya ku download hapa tuburudike kwanza...
Vyote unaongea ni uozo, nimekuambia leta uthibitisho huna..
Kuna siku umetuma picha ya manzi yako ya ku download halafu ulivyo fala eti ukaifuta chap ili kusudi tuone ni real, ila mnyamwezi nika minya reli nikajua tu hapa kazi ipo...
Bro acha ku pretend maisha, mi nakuambia ukweli, we unakuja na story za kutunga...
Acha ku pretend...
Shem upo? 😂😂😂Wanao left wanatupatia taabu sana. 🏃♂️🏃♂️😀😀
Battle lenyewe halinogi anamix mambo haeleweki sijui kavimbiwa pilau 😂😂😂😂si ndo wee ulikua unapenda battle, sasa Leo kakuvaa wee mwenyewe.
Selfika ina heka heka balaaa, woiiiiiiih
Shem nipo. Jiandae kutu wishShem upo? 😂😂😂
😂😂😂😂 unateseka sana, hebu lete hizo picha basi tuone mtunza album wanguBest couple ya JF na picha za ku download....
Dogo naona umetafuta angle ya picha kujifariji mm na picha wapi na wapiLeta picha nyingine ya ku download hapa tuburudike kwanza...
Vyote unaongea ni uozo, nimekuambia leta uthibitisho huna..
Kuna siku umetuma picha ya manzi yako ya ku download halafu ulivyo fala eti ukaifuta chap ili kusudi tuone ni real, ila mnyamwezi nika minya reli nikajua tu hapa kazi ipo...
Bro acha ku pretend maisha, mi nakuambia ukweli, we unakuja na story za kutunga...
Acha ku pretend...
Kumbe unakula mjani bwana😀😃😄😁😆Nilikuwa nakukubali sana wewe. Kidogo tu, nikuvute uwe jiko langu. Ebu achaneni na hizi mada sister.Shem upo? 😂😂😂
Yani yamekuja juu ili tupewe ban 😂😂😂😂Em trokaaaaaaa!!!!![]()
Kwa kweli nikitafakari ndugu zangu wanakufa pale Gaza inabidi hasira zangu nimalizie tu hapa...We maamuma. Achana na haya mambo. Umekosa kupiga cha mtume nini leo? Leo ni sikukuu, acheni ujinga wenu.
Weka picha yako tukuone kidampa nasubiri hapa 😂😂😂Haya best couple ya jf eid njema, sitaki kujibizana na watu wanatuma picha fake za ku download....
Naombeni mniache sasa nataka kuselfika...
Tu chat na picha lakini zisiwe za ku download...
Usijali shem lakeShem nipo. Jiandae kutu wish
Huwa nina kawaida moja simgusi nisiyemjua. Hivyo naomba niheshimu hiki ulichoandika hapaWe nawe acha upuuzi wako. Nendeni PM huko mtasababisha uzi ufungwe kwa ajili ya ujinga wenu. Mnatuboa wengine na kutuhusisha kwa mambo yasiyotuhusu. Tumekula biriani tunataka tuweke picha tukiwa na furaha ya sikukuu ya idd alafu nyie mnaleta masuala yenu ya kifala humu.