Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hunielezi chochote we masikini....
Nikimuita mtu masikini, ujue nimekushusha daraja ya chini kabisa...

Bro tafuta pesa acha ku download picha na ku tu fool hapa eti una pisi kali.. Bob Marley alisema
You can fool some people some times but you cant fool all the people all the time...


HApa watu wana wa zoom tu wanawaona kama ma zuzu flani....

Tafuta pesa upate mwanamke mzuri uwe unapiga picha za uhalisia acha ku pretend Bro....
Ushavurugika haya kale pilau la idd
 
Nilijua lazima utachanganyikiwa, unaona ulivyoanza na unavyomaliza? Hapo ndio kuvurugwa sasa
Kila muda nakuuliza wenzako watatu wapo wapi? Na kwa nn hutaki kujikubali? Mbona wenzio wanajikubali na maisha yanaendelea? Ushoga ni mbaya, ila imeshakua hakuna namna jikubali uwe na amani, lakini hii kuingia mtandaoni kuanza kuonea wengine wivu ni ujinga
Leta picha nyingine ya ku download hapa tuburudike kwanza...
Vyote unaongea ni uozo, nimekuambia leta uthibitisho huna..

Kuna siku umetuma picha ya manzi yako ya ku download halafu ulivyo fala eti ukaifuta chap ili kusudi tuone ni real, ila mnyamwezi nika minya reli nikajua tu hapa kazi ipo...

Bro acha ku pretend maisha, mi nakuambia ukweli, we unakuja na story za kutunga...

Acha ku pretend...
 
Walikua watatu ukawakimbiza, wenzie wapo wapi siku hizi? Huyu ndio peke yake kakosa soko
We nawe acha upuuzi wako. Nendeni PM huko mtasababisha uzi ufungwe kwa ajili ya ujinga wenu. Mnatuboa wengine na kutuhusisha kwa mambo yasiyotuhusu. Tumekula biriani tunataka tuweke picha tukiwa na furaha ya sikukuu ya idd alafu nyie mnaleta masuala yenu ya kifala humu.
 
Leta picha nyingine ya ku download hapa tuburudike kwanza...
Vyote unaongea ni uozo, nimekuambia leta uthibitisho huna..

Kuna siku umetuma picha ya manzi yako ya ku download halafu ulivyo fala eti ukaifuta chap ili kusudi tuone ni real, ila mnyamwezi nika minya reli nikajua tu hapa kazi ipo...

Bro acha ku pretend maisha, mi nakuambia ukweli, we unakuja na story za kutunga...

Acha ku pretend...
We maamuma. Achana na haya mambo. Umekosa kupiga cha mtume nini leo? Leo ni sikukuu, acheni ujinga wenu.
 
si ndo wee ulikua unapenda battle, sasa Leo kakuvaa wee mwenyewe.

Selfika ina heka heka balaaa, woiiiiiiih
Battle lenyewe halinogi anamix mambo haeleweki sijui kavimbiwa pilau 😂😂😂😂
 
Haya best couple ya jf eid njema, sitaki kujibizana na watu wanatuma picha fake za ku download....
Naombeni mniache sasa nataka kuselfika...

Tu chat na picha lakini zisiwe za ku download...
 
Leta picha nyingine ya ku download hapa tuburudike kwanza...
Vyote unaongea ni uozo, nimekuambia leta uthibitisho huna..

Kuna siku umetuma picha ya manzi yako ya ku download halafu ulivyo fala eti ukaifuta chap ili kusudi tuone ni real, ila mnyamwezi nika minya reli nikajua tu hapa kazi ipo...

Bro acha ku pretend maisha, mi nakuambia ukweli, we unakuja na story za kutunga...

Acha ku pretend...
Dogo naona umetafuta angle ya picha kujifariji mm na picha wapi na wapi
Ww jikubali ulivyo, wenzio wanajikubali ndio maana wana amani.

Bado hujajibu wale wenzio wapo wapi?
 
Haya best couple ya jf eid njema, sitaki kujibizana na watu wanatuma picha fake za ku download....
Naombeni mniache sasa nataka kuselfika...

Tu chat na picha lakini zisiwe za ku download...
Weka picha yako tukuone kidampa nasubiri hapa 😂😂😂
 
We nawe acha upuuzi wako. Nendeni PM huko mtasababisha uzi ufungwe kwa ajili ya ujinga wenu. Mnatuboa wengine na kutuhusisha kwa mambo yasiyotuhusu. Tumekula biriani tunataka tuweke picha tukiwa na furaha ya sikukuu ya idd alafu nyie mnaleta masuala yenu ya kifala humu.
Huwa nina kawaida moja simgusi nisiyemjua. Hivyo naomba niheshimu hiki ulichoandika hapa
 
Back
Top Bottom