Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eid Mubarak

Mkwe ephen_ namuonea wivu mwanangu

Aaliyyah 😍😍😍

Ukhty Nuzulati Nzeze, Eid mubarak

Mzee wa kiko Grahams legend heshima yako mkuu, tupeane lokesheni tuje tupate nondo atleast..

Chinowana man Kapachino Naona umepotea potea au ndio mama la mamaaaa L kakuficha?? Au bado upo na Inni??

Ms R very soon inabidi kuna herufi r iongezeke hapo kwenye ms...

My brother ERoni Eid Mubarak brother, sikuoni Oni huku au ndio umehamia pm?? Hivi Yule mrembo alikuwa anaitwa husna muba huku yupo wapi?? Nimemmiss au ndio huyu Lamomy maana new id hizi unaweza rudia chaka la zaman..

BL nakupa mwaliko special karibu Eid, tumechinja hapa Kwa ajili yako.
Mimi sio husna bana, kwan kuna vitu tunamatch??
 
Unazingua big time, kama huyo manzi ulikuwa nae kuna haja gani ya kuonyesha tofauti zenu hapa, si unakausha tu mzee, wanaume hatuna hayo mambo, mambo ya kujibizana ni issues za wanawake...

Unaonekana kama chenga..
Mkuu,unaharibu sasa

Nipo live na huu uzi kwa ajili yao....kimya kimya

Kwanini na wewe usiwe pamoja nao kimya kimya hadi watoane roho mkuu aaaaaah!! 🤣
 
Eid Mubarak

Mkwe ephen_ namuonea wivu mwanangu

Aaliyyah 😍😍😍

Ukhty Nuzulati Nzeze, Eid mubarak

Mzee wa kiko Grahams legend heshima yako mkuu, tupeane lokesheni tuje tupate nondo atleast..

Chinowana man Kapachino Naona umepotea potea au ndio mama la mamaaaa L kakuficha?? Au bado upo na Inni??

Ms R very soon inabidi kuna herufi r iongezeke hapo kwenye ms...

My brother ERoni Eid Mubarak brother, sikuoni Oni huku au ndio umehamia pm?? Hivi Yule mrembo alikuwa anaitwa husna muba huku yupo wapi?? Nimemmiss au ndio huyu Lamomy maana new id hizi unaweza rudia chaka la zaman..

BL nakupa mwaliko special karibu Eid, tumechinja hapa Kwa ajili yako.
Mina li faidhina mzee wa hall v
Pilau ni kwa Aaliyyah
 
Unazingua big time, kama huyo manzi ulikuwa nae kuna haja gani ya kuonyesha tofauti zenu hapa, si unakausha tu mzee, wanaume hatuna hayo mambo, mambo ya kujibizana ni issues za wanawake...

Unaonekana kama chenga..
😂😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Unazingua big time, kama huyo manzi ulikuwa nae kuna haja gani ya kuonyesha tofauti zenu hapa, si unakausha tu mzee, wanaume hatuna hayo mambo, mambo ya kujibizana ni issues za wanawake...

Unaonekana kama chenga..
Jambo linalonihusu huwa nalijibu, hiyo kukausha kwangu haipo ni utaratibu tu ambao nimeuweka
Wanaume hatuna hayo mambo? Sawa, lakini kwanza mm naamini vipi kama ww ni mwanaume?

Naonekana chenga kwa nani? Kwako au kwa nani?
 
😂😂😂😂 Kutoana roho tena??

Eeee mkutane tu mpigane yaishe...hapa jukwaani mnajichoresha tu

Nimewafuatilia siku ngapi hizi hadi nikatamani kuwa-PM muache mnachokifanya ila nikaogopa maana sijakuzoea wewe wala Countrywide

Hainihusu lakini nashauri tu hivyo hivyo...malizeni mambo yenu hata PM maana kwa mujibu wa Countrywide ni kwamba huko kwenye namba za simu umemlamba block 😆

Hapa jukwaani sio salama
 
😂😂😂😂 Mi mbona sina tatizo shem, kwani kuna sehemu nimetoka nje ya mstari??
No, nipo kwenye mode nyingine, am seriously very very seriously usiniite shem, we na jamaa wako mnazingua kinoma, you know? let's take it seriously..
 
Ww ndio maana nakuambiaga hujielewi, na haya mapovu yako na maneno yako ya ajabu ndio yamefanya nikuone mtu wa hovyo sana
Two weeks back ulinitolea povu hivi hivi na maneno mengi kweli kuwa najuana na lovelove mara najuana na antonnia, Mara nashirikiana nao maadui zako kukuhujumu kila ujinga uliandika. Hapo ndio niliona ww ni chenga sana

Leo tena umekuja na yaleyale. Unajistukia sana. Nilikuambia hii tabia yako nitaukomesha maana ulikua unanigeuza jalala
Mnanionea bure kwa kweli.
 
No, nipo kwenye mode nyingine, am seriously very very seriously usiniite shem, we na jamaa wako mnazingua kinoma, you know? let's take it seriously..
Kumbe ushauri wote ulionipa ni ku-take advantage ya kuomba? Dogo nasikitika kukuambia huna akili
 
Jambo linalonihusu huwa nalijibu, hiyo kukausha kwangu haipo ni utaratibu tu ambao nimeuweka
Wanaume hatuna hayo mambo? Sawa, lakini kwanza mm naamini vipi kama ww ni mwanaume?

Naonekana chenga kwa nani? Kwako au kwa nani?
😂😂😂😂 kumekucha
 
Back
Top Bottom