Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
😂😂😂😂 kumpindua coca hawezi, huyo ana nyota ya bundiHuyu dogo alitaka ampindue coca, coca akamuambia hana nyota. Sasa Kuna mtu hapo kweli
😂😂😂😂 kumpindua coca hawezi, huyo ana nyota ya bundiHuyu dogo alitaka ampindue coca, coca akamuambia hana nyota. Sasa Kuna mtu hapo kweli
Siwezi tongoza mazni hapa public muambie manzi yako alete chats za PM, mi si mjinga Dogo...Nilijua lazima utapoteana, ulianza kama mshauri mara kutongoza wakati upo group la walioleft, sasa hivi unaanza tena kushambulia uliokuwa unawasifia mwanzo
Nilikua namkumbusha tu huyu dogo, maana kaja anajifanya kidume na kasahau huko zamani allifanya nn yeye na wenzake. Si qio huyu alibadili na ID baada ya kustukiwa?kwanini unahamisha ugomvi wenu na kuleta kwangu?
Country mie sitaki bhanaa,
Umepika au ndo unaswampa kuvizia mapilau kwa jirani?![]()




nanyetukaa leo, vidolee vitaisha hivi, na joto la huku mbna vitanyekenyeka nyeeeeee.Hayo ni maelezo ya coca, mpo wengi humu Ila nyie watatu ndio mlikua mnaona wivu





Huwezi futa message za PM, huwezi... naema leta hizo PM messages watu waburudike hapa...Nani atunze msg zako pm? Ukishakua vile tu ulivyo huwa unapuuzwa rasmi
Ilooo pyeee 🤣🤣🤣Leta screenshot hata za PM hapa muombe huyo shoga ako coca...
Mi nawamudu bado nataka mfike 10 ndipo mtanitosha...
Anatuchosha achana nayeUnaona sasa umeanza kuchanganyikiwa
Kalibadili I'd baada ya kushindwa, wenzake watatu sijui wapo wapi.Na ana wivu mbaya mana hampi nafasi coca apumue 🤣🤣🤣🤣
Best couple ya JF...Ilooo pyeee 🤣🤣🤣
Ww uachage uongo
Si shemeji yake lazima uhusike kwenye ugomvi wa familia 😂😂😂😂kwanini unahamisha ugomvi wenu na kuleta kwangu?
Country mie sitaki bhanaa,
Wee nae uwage buzzy na mambo yakoo, kutwaa kuranda randa na yasiyokuhusu, ndo maana yanakukuta haya.Si umuulize huyo coca yupo hapa... Bro una fail..
We na couple yako hapa ni kitukona picha zenu za kudainilodi... najua ina ku hit so hard lakini hamna namna![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
We umekuja wa 3, nataka mfike 10...Wee nae uwage buzzy na mambo yakoo, kutwaa kuranda randa na yasiyokuhusu, ndo maana yanakukuta haya.
Em kua km mwanaume bhana, unaboaa!! Mxxxxiiiiieeeew
Sio shida zetu uduguu uzi bila sie haunogi huu
Sis ndo tunaamua uchangamke au upooze




khaaaaahHujui sasa useme tena nn, naona ulijua tumesahau ulivyokua nyumaKuna siku moja hapa unajitia kum post manzi ako, eehhh, si ukatuma picha ya kudownload, nikaipimia halafu nikminya reli, silent, nimgetaka kukuaibisha hapa ingekuwa mtafutano....
Bro hebu achana na hizi issue, ntakuabisha hapa ubadili na ID...
Na ana wivu mbaya mana hampi nafasi coca apumue![]()




nyie akiiii, ntapasua cm kwa kuangushaa. LolLete zako halisi, halafu hiyo yako wewe hakuna sehemu tulijiita best couple jf, tumewavuruga eeh! Bado hamjavurugika vizuri 🤣🤣🤣🤣Stupid....
Mnajitia best couple ya JF kumbe picha za kudownload..... 😂 😂 😂 😂 😂