Hatari tupu 😂😂Humu kuna mazito 😟
Hatari tupu 😂😂Humu kuna mazito 😟
Wauze wote niache me na babu😂😂😂😂😂😂😂 dah! Ila Jf me nawauza bana
Nakutumia wasap 🤣🤣🤣Wauze wote niache me na babu
Babu nimeona yuko daslama
Naombeni namba jaman mbona hivyo😂
Umeona sasa unavyotapatapa hujui ushike lipi?? Unaanza kusingizia iphone kwani sele kakununulia simu gani??
Matumizi mabaya ya msambwandwa huo dada bonge
Ww umetoka na mapedejee wa JF alafu bado unatumia itel kweli?? Aaaah udugu hapana hiyo haiko sawa hata kidogo
Inamana hata yule mwanaume uliyesema coca kakuibia naye kashindwa kukunulia iphone??![]()
Utashangaa unaletewa taarifa ambazo hata wewe muhusika huna!Hatari tupu 😂😂
😁😁Ukisema hivyo Babu yenu Presha inazidi kupanda ujue😜
stow away upite huku na mke mwenza JagiyaHivi nyie watu mko serious kweli ama mpo kwenye utani
Unajua hai-make sense eti niwe natoka na mrembo mmoja hapa, then nikamwambia huyo mrembo anitafutie mrembo mwingine niwe natoka naye.
Hivi inawezekana kweli?
Sijui lengo lenu kwenye hizi mada zenu zisizoisha humu.
Hata kama huwa tunataniana ila please naomba mniheshimu japo Kwa Umri wangu.
Kwanza ujue tumebaki Wazee wachache sana Nchi hii ...........oneni huruma Kwa Wazee 🤗Kafie mbele huko 🤣🤣🤣
Yes dearUtashangaa unaletelewa taarifa ambazo hata wewe muhusika huna!
Tuwe makini na watu tunaowachagua kuwaamini aisee!
Basi hapo kavimbisha mashavu ingekuwa kipindi kile angewahi pm kukandia
Mama miongozo umeona chuma hiko??
Ndiomana presha nyingi

mnafuta etBabu ukienda kwa wakala na Mimi usini sahau 🤣🤣🤣🤪We huogopi kutoka na Wazee 😜
Ngoja nimwambie wakala akutumie laki 1 😅
Si anajua watu njaa zimewajaa, akipost hivyo chupi zinalowa wanajipeleka pm.😂😂😂😂😂 hela zake ndo hizo
Laki laki lakiiii
Ila JF anakuja kudanganya na post za dollar. Dollar za ofisi 🤣🤣🤣🤣
Nasikia wewe ni bingwa wa kuhonga utafanya watu wauane humu walio kuwa mawindoni😁
Mimi mlikuwa mnanishangaza kuimba bwana ana hela et tumemwiba?
Wakati mimi nilikuwa nafanya mission ya kumjua baada ya Yna2 kuninyima picha yake.
Bwana ana hela na Antonia anapost picha camera 1/10. Kwamba miaka yote hiyo kashindwa kutunza za kuhongwa achukue hata ka A series?
Uzuri aliandika mwenyeww kwamba alikuwa ana hasira na uchungu baada ya kuachwa. Ila karudiwa. Bado utulivu hamna, ana shida gani?
Aseme wanawake wenzake tumsaidie
Don't bother with this Young Man, it's normal jokes ya Mzee na WajukuuZee una niponda kutaka kumpa dunia Nuzulati
👉Akati kumbe una tumaga na ya kutolea-😁🤣
🤣🤣🤣🤣Mtafanya nife Kwa Presha nyie Wajukuu.........
Mnajua Babu yenu siwezi Kulala bila kumeza dawa zangu za Presha 🥲
Kwani hawaogopi kudate na WazeeNasikia wewe ni bingwa wa kuhonga utafanya watu watu wauane humu walio kuwa mawindoni😁