Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Eeh ilibaki laki 9, usisahau na ya kutolea.Unajua dawa zangu ziliisha tangu Juzi, fanya kunichukulia hapo Kairuki hospital
Hivi ilibaki laki 9 eeh 😅🙌
Kweli kuishi kwingi kuona mengi 😜
Hela ya Dawa unganisha hapo hapo