Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee hio mikwara uchwara yako wapelekee haohao wifi zako unaowang'onga na kuwachekea at the same time ambao wanakuogopa sio mimi!
Mimi wewe zaidi ya kubwatuka huna cha kunifanya yani hunaaa! Chochote kile huwezi nifanya si wewe wala huo ukoo wako elewa neno ukoo!
Na ninawashukuru matipo ids wamenifanya nijue wewe ni mtu wa aina gani utakhakha sana nakwambia bado hujasemaaa! Enhee nilivokukuwadia babu ndo ikawaje?? Wewe si mtu wa makavu mbona babu unaficha jina na pepsistic ulitaja hadi jina???

Wapige mikwara uchwara hao wifizo wanaokuogopaa

Hebu rudia selfii yako ya jana usiku kwanza nicheke mimiii🐒 Si unajiamini wewe huko kuwahi kufuta kwemaa?? Una wasiwasi nanini ndo huamini Hadi Picha zakoooo mwenyewe???

Afu leo tuweke video basiii ila anza na picha uloweka usiku then video sijui unataka tugundue nini!


Chat na picha wapendwaaa!!
Aikooooooo! Nimesoma mara mbili mbili
Wee hio mikwara uchwara yako wapelekee haohao wifi zako unaowang'onga na kuwachekea at the same time ambao wanakuogopa sio mimi!
Mimi wewe zaidi ya kubwatuka huna cha kunifanya yani hunaaa! Chochote kile huwezi nifanya si wewe wala huo ukoo wako elewa neno ukoo!
Na ninawashukuru matipo ids wamenifanya nijue wewe ni mtu wa aina gani utakhakha sana nakwambia bado hujasemaaa! Enhee nilivokukuwadia babu ndo ikawaje?? Wewe si mtu wa makavu mbona babu unaficha jina na pepsistic ulitaja hadi jina???

Wapige mikwara uchwara hao wifizo wanaokuogopaa

Hebu rudia selfii yako ya jana usiku kwanza nicheke mimiii🐒 Si unajiamini wewe huko kuwahi kufuta kwemaa?? Una wasiwasi nanini ndo huamini Hadi Picha zakoooo mwenyewe???

Afu leo tuweke video basiii ila anza na picha uloweka usiku then video sijui unataka tugundue nini!


Chat na picha wapendwaaa!!
Aikoooooooo! Nimesoma, nikasoma, nikasoma, nikasoma tena.. Aikoooo Nimevurugika sana mpk sasa hivi hii team mmevurugana na mmenyanyasana kiasi hiki 😢 😢 😢 😢 😢 Fake Id kama yangu imewachonganisha mnakwidana 😢😢😢😢 Nimekumbuka ile series ya into the bad land, widow alituma ka binti chake kakawa vuruge wakashambuliana kuja kujua ni team butterfly, Leo side chick anacheka na lamomy 😢😢😢🤣🤣🤣 Mnanivurugia Kwaresma kabisa Aikoooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Back
Top Bottom