Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
hela zake ndo hizo
Laki laki lakiiii
Ila JF anakuja kudanganya na post za dollar. Dollar za ofisi![]()




hela zake ndo hizo
Laki laki lakiiii
Ila JF anakuja kudanganya na post za dollar. Dollar za ofisi![]()




Aikooooooo! Nimesoma mara mbili mbiliWee hio mikwara uchwara yako wapelekee haohao wifi zako unaowang'onga na kuwachekea at the same time ambao wanakuogopa sio mimi!
Mimi wewe zaidi ya kubwatuka huna cha kunifanya yani hunaaa! Chochote kile huwezi nifanya si wewe wala huo ukoo wako elewa neno ukoo!
Na ninawashukuru matipo ids wamenifanya nijue wewe ni mtu wa aina gani utakhakha sana nakwambia bado hujasemaaa! Enhee nilivokukuwadia babu ndo ikawaje?? Wewe si mtu wa makavu mbona babu unaficha jina na pepsistic ulitaja hadi jina???
Wapige mikwara uchwara hao wifizo wanaokuogopaa
Hebu rudia selfii yako ya jana usiku kwanza nicheke mimiii🐒 Si unajiamini wewe huko kuwahi kufuta kwemaa?? Una wasiwasi nanini ndo huamini Hadi Picha zakoooo mwenyewe???
Afu leo tuweke video basiii ila anza na picha uloweka usiku then video sijui unataka tugundue nini!
Chat na picha wapendwaaa!!
Aikoooooooo! Nimesoma, nikasoma, nikasoma, nikasoma tena.. Aikoooo Nimevurugika sana mpk sasa hivi hii team mmevurugana na mmenyanyasana kiasi hiki 😢 😢 😢 😢 😢 Fake Id kama yangu imewachonganisha mnakwidana 😢😢😢😢 Nimekumbuka ile series ya into the bad land, widow alituma ka binti chake kakawa vuruge wakashambuliana kuja kujua ni team butterfly, Leo side chick anacheka na lamomy 😢😢😢🤣🤣🤣 Mnanivurugia Kwaresma kabisa AikooooooooooooooooooooooooooooooooWee hio mikwara uchwara yako wapelekee haohao wifi zako unaowang'onga na kuwachekea at the same time ambao wanakuogopa sio mimi!
Mimi wewe zaidi ya kubwatuka huna cha kunifanya yani hunaaa! Chochote kile huwezi nifanya si wewe wala huo ukoo wako elewa neno ukoo!
Na ninawashukuru matipo ids wamenifanya nijue wewe ni mtu wa aina gani utakhakha sana nakwambia bado hujasemaaa! Enhee nilivokukuwadia babu ndo ikawaje?? Wewe si mtu wa makavu mbona babu unaficha jina na pepsistic ulitaja hadi jina???
Wapige mikwara uchwara hao wifizo wanaokuogopaa
Hebu rudia selfii yako ya jana usiku kwanza nicheke mimiii🐒 Si unajiamini wewe huko kuwahi kufuta kwemaa?? Una wasiwasi nanini ndo huamini Hadi Picha zakoooo mwenyewe???
Afu leo tuweke video basiii ila anza na picha uloweka usiku then video sijui unataka tugundue nini!
Chat na picha wapendwaaa!!
Asipoongea wewe unasema anaringa 😀😀😀Yes dear
Nakushauri usiongee na mtu humu 😂😂
Mie yashanikuta tayari .
Chat tu na watu jukwaani .
Wengine hatumjui mnatunyima ubuyu![]()
Unajua dawa zangu ziliisha tangu Juzi, fanya kunichukulia hapo Kairuki hospital🤣🤣🤣🤣
Babu kunywa dawa af nitumie balansi yangu kwenye no Ile Ile uliyotuma laki.
Umenunua ngapi mpk dk hii?Humu usikute kuna ...... wa kimya kimya
Mtafanya nife Kwa Presha nyie Wajukuu.........
Mnajua Babu yenu siwezi Kulala bila kumeza dawa zangu za Presha 🥲

unakula sana wajukuu wakoKwa humu aongee tuAsipoongea wewe unasema anaringa 😀😀😀
Yaan ni hivi. Maongezi yaishie jukwaani
Usiwe na wasi hizo mvi tutapaka supablaki 🤪Kwani hawaogopi kudate na Wazee
Imagine Mvi zote hizi zilivyonijaa Kichwani 😅
Tulia kwanza 🤣🤣🤣Naomba namba za babu jaman
Jua kali mjini hapaaa😂😂😂
Hivi mmeshawahi kuwaona Wazee wa Umri wangu jamani. We can't afford even to have a single shot on targetBabi jibu tuhumaunakula sana wajukuu wako
Kumbe una penda season 😁, Depal njoo uchukue team Badland huyu😆Nimekumbuka ile series ya into the bad land, widow alituma ka binti chake kakawa vuruge wakashambuliana kuja kujua ni team butterfly,
Lakini kwanini ni muongoSi anajua watu njaa zimewajaa, akipost hivyo chupi zinalowa wanajipeleka pm.
Wacha tu wapigwe
Ngoja niombe ruhusa Kwa Bibi yenu kama atakubali msaidizi 😅Usiwe na wasi hizo mvi tutapaka supablaki 🤪
Babu na mimi naomba laki 2 kwenye ile namba yangu.



Wakiweka voice note na ulivyo na sauti laini ni umebeba bwana wa mtu nakwambia
Naskia babu mlafi kichizi





UsinizoeeLeo side chick anacheka na lamomy 😢