Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,682
- 208,865
UsinizoeeLeo side chick anacheka na lamomy 😢
UsinizoeeLeo side chick anacheka na lamomy 😢
Eeh ilibaki laki 9, usisahau na ya kutolea.Unajua dawa zangu ziliisha tangu Juzi, fanya kunichukulia hapo Kairuki hospital
Hivi ilibaki laki 9 eeh 😅🙌
Kweli kuishi kwingi kuona mengi 😜
🤣🤣🤣🤣Lakini kwanini ni muongo
🤣🤣🤣 me bado nalia nae hapo tu
Ndivyo lilivyo mahiiiii 🤣🤣🤣Kwahiyo umeamua kutulegezea jicho😂😂😂?
Hivi mmeshawahi kuwaona Wazee wa Umri wangu jamani. We can't afford even to have a single shot on target
Sijawahi kula Mjukuu hata moja, I swear
Kuweni na huruma na Wazee 🥲
Aikooooo! Njoo na utimamu wa akili, not programmedUsinizoee
Hahaha.........thanks Mjukuu, lazima nikurithishe yale mashamba yangu ya Dumila 😜Eeh ilibaki laki 9, usisahau na ya kutolea.
Hela ya Dawa unganisha hapo hapo
Kwanini yule babu mwenzake alienda kumwambia mm nna stress nimezalishwa na mzungu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanini aseme atanipa miRioni af anitumie Raki? Sijapenda
Nani kama babuuuuu🥰🥰Hahaha.........thanks Mjukuu, lazima nikurithishe yale mashamba yangu ya Dumila 😜
Hebu tuone yote😂😂Ndivyo lilivyo mahiiiii 🤣🤣🤣
Nuzulati my sweetheart 💓💓, nibebe uka nifiche😆😁.chat n picha
Screenshotin msambaziane
Sawa 😄😄😄
Hahaha...........ngoja nikae kikao na Wazee wenzangu tuongeze kiasi kutoka laki 1 hadi 5 sasa 😜Tunaangalia miamala babu
Wazee watamu haswa wawe sio wabahili
Kumbe uko hapo, haya sawa😆🤣 ndo njia yangu hio natumia ku hack loneliness idodomia
🤣🤣🤣🤣🤣Kwanini yule babu mwenzake alienda kumwambia mm nna stress nimezalishwa na mzungu 🤣🤣
Huu uzi kuna watu ni wa kuchapa fimbo
Hahahahaha...unahisi wanatania ?Nimewanawa kumbe mpo serious sana humu😁