Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wala babu simfichi ni grahms, ulikuja kuniambia kwamba ananipenda eti nimtafute wakati ulisema Lenie kakuibia babu.. na aliahidi kumpa million, mwishoe akampa lakiโ€ฆ
Na aliyekuunganishia babu gramhs ni coca ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kaka Miongozo unaibiwa ulivyokuwa haupo ulikuwa unasaidiwa nikwambie wala sio km anavyokuaminisha tukunyema lako kwamba alibaki bila mtu ni muongo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Uduguu hi ๐Ÿ‘‹
Hivi nyie watu mko serious kweli ama mpo kwenye utani


Unajua hai-make sense eti niwe natoka na mrembo mmoja hapa, then nikamwambia huyo mrembo anitafutie mrembo mwingine niwe natoka naye.

Hivi inawezekana kweli?

Sijui lengo lenu kwenye hizi mada zenu zisizoisha humu.


Hata kama huwa tunataniana ila please naomba mniheshimu japo Kwa Umri wangu.
 
Kweli inabidi kwenda kuoga maji ya bahari kama kila mwanaume unaibiwa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Babu Kwanza anitumie balansi yangu nimemnunia๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Naomba namba za babu jaman
Jua kali mjini hapaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hivi nyie watu mko serious kweli ama mpo kwenye utani


Unajua hai-make sense eti niwe natoka na mrembo mmoja hapa, then nikamwambia huyo mrembo anitafutie mrembo mwingine niwe natoka naye.

Hivi inawezekana kweli?

Sijui lengo lenu kwenye hizi mada zenu zisizoisha humu.


Hata kama huwa tunataniana ila please naomba mniheshimu japo Kwa Umri wangu.
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ sema we kwa kukataa me nakupa 10/10
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†namwambia tu โ€˜daddy niko na asali tayari, tuma hela ya flightโ€™
Babuu mkonga juu juu shwaaa shwaaa madolari hayoooo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ dah! Ila Jf me nawauza bana
 
Back
Top Bottom