Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unafahamu fika kinachoniuma ni kunihusisha na ids mpya humu wewe unazingua na kutoka mwenyewe utasema yoteee afu mi sijafungua hata mdomo wangu!
Ukajifanya kumtumia Antoniia ndio kuja kufatilia vizuri kujua yalipoanzia !

Usijifanye fyatu wewe
Mama miongozo tupate breki kidogoo kuna issue moja naifanya, twende mapumziko tutarudi 😂😂😂😂😂
 
Ile siku ile tulikuwa tuna vibe nikaweka video na ndio iliokuuma mpk ukaja na id nyingine kulalamika sasa pale uliumia nini?? Mbona video ya kawaida sana uduguuu 😂😂😂😂
Hebu weka yako nione ulivyo tukunyema

Miongozo sijawahi hata kuwa na msissimko naye kwanza ulisema ana Ukimwi, sasa mimi wagonjwa wa kazi gani?? Eeee uduguu wangu?? 😂😂😂😂
Makubwa hayaa mie huyu nihanhaike na video yako????? Ndio ikapelekea nini Hadi ukaanza kuita watu kuuliza kama ndoile kama sio undumilakuwili unaokusumbua??? Afu ulomwita hata hakuja ukabakia unahaha na mashankupe wenzio!

Nasemaaaajeeeeee bado hujasemaaa!
Endelea kutupia Uzi usipoee huuu finally umejikusanya nakuanza kutupia khakhakhaaaa!. Kapinnchi bana

Na picha wapendwaaa!!
 

Attachments

  • Screenshot_20240227-111632.jpg
    Screenshot_20240227-111632.jpg
    293.3 KB · Views: 6
Inamuuma ww ulihongwa gari nini?? Mana yeye anahongwa maneno ya kubebishwa tena kwa kuforce 😂😂😂😂

Halafu ule uzi alijifungulia mwenyewe kuwarusha roho 😂😂😂😂
Sele alimpa password akaamua kuwarusha roho nyie JF tamu sana
Mimi mlikuwa mnanishangaza kuimba bwana ana hela et tumemwiba?
Wakati mimi nilikuwa nafanya mission ya kumjua baada ya Yna2 kuninyima picha yake.
Bwana ana hela na Antonia anapost picha camera 1/10. Kwamba miaka yote hiyo kashindwa kutunza za kuhongwa achukue hata ka A series?

Uzuri aliandika mwenyeww kwamba alikuwa ana hasira na uchungu baada ya kuachwa. Ila karudiwa. Bado utulivu hamna, ana shida gani?
Aseme wanawake wenzake tumsaidie
 
wala babu simfichi ni grahms, ulikuja kuniambia kwamba ananipenda eti nimtafute wakati ulisema Lenie kakuibia babu.. na aliahidi kumpa million, mwishoe akampa laki…
Na aliyekuunganishia babu gramhs ni coca

Kaka Miongozo unaibiwa ulivyokuwa haupo ulikuwa unasaidiwa nikwambie wala sio km anavyokuaminisha tukunyema lako kwamba alibaki bila mtu ni muongo

Uduguu hi

Ubuyuu huuuuu eheee
 
Mimi mlikuwa mnanishangaza kuimba bwana ana hela et tumemwiba?
Wakati mimi nilikuwa nafanya mission ya kumjua baada ya Yna2 kuninyima picha yake.
Bwana ana hela na Antonia anapost picha camera 1/10. Kwamba miaka yote hiyo kashindwa kutunza za kuhongwa achukue hata ka A series?

Uzuri aliandika mwenyeww kwamba alikuwa ana hasira na uchungu baada ya kuachwa. Ila karudiwa. Bado utulivu hamna, ana shida gani?
Aseme wanawake wenzake tumsaidie
😂😂😂😂😂kwani bwana mwenyewe anatumia simu gani
Mule muleeeee😂
Naomba na mimi nsaidie mwanamke mwenzio
Hata ka 14 pro tu, naomba muongozo kwnye hilo😂😂😂
 
Zile id’s zote ni zako mama Miongozo na ndiomana mods wakaifuta id yangu wakakuachia ids zako upambane nazo unadhani mod’s hawakujua hilo???

Na nitawaambia na ya Ramona nayo wakuunganishie utulie, gram wako ulivyoona nimekukushushua ndio ukaanza kunipa ubuyu wa wewe kutoka naye na wanakuonea wivu sana kila mwanaume unayempata humu ana pesa wanakuibia

Sasa kwann ulikuwa unajipamba na id’s zako?? Unajua kwenye hili huchomoki zile id’s kila siku zinakupamba na kututukana wengine, wewe hujishangai?? Bingwa wa kujisifia na kujiita aunt, yani wewe unajitia kidole na kujinusa mwenyewe ujue

Nyie
 
Umeona sasa unavyotapatapa hujui ushike lipi?? Unaanza kusingizia iphone kwani sele kakununulia simu gani??
Matumizi mabaya ya msambwandwa huo dada bonge 😂😂😂😂
Ww umetoka na mapedejee wa JF alafu bado unatumia itel kweli?? Aaaah udugu hapana hiyo haiko sawa hata kidogo 🤣🤣🤣🤣

Inamana hata yule mwanaume uliyesema coca kakuibia naye kashindwa kukunulia iphone?? 🤣🤣🤣
Weka na screenshot kusapot your claim kama ulivofanya hapo juu! Wewe ni mtu wa makavu na bado utabaki kuwa Ndumilakuwili!

Nasubiria Hizo screenshot na za mimi kuibiwa babu kajikusanye nguvu vizuri ukija uanze nazo
 
Mimi mlikuwa mnanishangaza kuimba bwana ana hela et tumemwiba?
Wakati mimi nilikuwa nafanya mission ya kumjua baada ya Yna2 kuninyima picha yake.
Bwana ana hela na Antonia anapost picha camera 1/10. Kwamba miaka yote hiyo kashindwa kutunza za kuhongwa achukue hata ka A series?

Uzuri aliandika mwenyeww kwamba alikuwa ana hasira na uchungu baada ya kuachwa. Ila karudiwa. Bado utulivu hamna, ana shida gani?
Aseme wanawake wenzake tumsaidie
Dah Eti ka a series 🤣😁
 
😂😂😂😂😂kwani bwana mwenyewe anatumia simu gani
Mule muleeeee😂
Naomba na mimi nsaidie mwanamke mwenzio
Hata ka 14 pro tu, naomba muongozo kwnye hilo😂😂😂
Samsung S6 nini 🤣🤣🤣

Usinambie kitu kuhusu 14pro
Ntalia 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom