Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wachaa weeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Kweli uko supa toluuu na fuluuu mshepuuiii ndiooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Danganya hao Makinda wenzio humu we know you veri welooooooo!

Namnaa hio uzi unanogaaaa sio kujadili ujinga ujinga tu !

Afu mbona picha nyingine uko pimbi nyingine toluuu ni zakoooo hizo kweli???

Iphone walichofanya Sijapentaaa haioneshi kama ni fb Instagram ama laah!
Kumbe inakuuma kuitwa kapinnchi?? Narudia tena mie sio bwanyenyeee bonge
Mkimaliza mtuambie chanzo cha mtafaruku wenu

Cc Lamomy

Hatujawazoea hivi
 
Ila humu mbona watu ni malimbukeni na ni washamba jamanii kumbe humu ni bora usijuane na mtu hii comment imejaa kinyaa na aibu.
Si umeona uliyotaka kuyajua jana nikakwambia ww tulia mahi mambo mazuri hayataki haraka 😂😂😂😂
Humu kila siku nasema usije kujuana na mtu, uzuri mimi simchambi mtu na id nyingine kujifanya malaika huwa nakuchamba na hii inayokusifia sina unafiki
 
Umeona sasa unavyotapatapa hujui ushike lipi?? Unaanza kusingizia iphone kwani sele kakununulia simu gani??
Matumizi mabaya ya msambwandwa huo dada bonge 😂😂😂😂
Ww umetoka na mapedejee wa JF alafu bado unatumia itel kweli?? Aaaah udugu hapana hiyo haiko sawa hata kidogo 🤣🤣🤣🤣

Inamana hata yule mwanaume uliyesema coca kakuibia naye kashindwa kukunulia iphone?? 🤣🤣🤣
😆😆😆😆
Kila mwanaume anaibiwa yeye
Afu wanaume wa JF waongo jaman
Wanasifia msambwanda afu wanaibiwa na tuwatu twembamba
Lenie uliwezaje kumuiba babu
Nimeona yuko mjini😂😂😂😂
Ntaka npate hata tumilioni twa haraka
 
😂😂😂😂 kumbe kinachokuuma mimi kuwa msemaji wa wake wenzio??
Halafu mimi sio shortiiiii sawa?? Mimi size ya kati, shortiiiiii ni Selee anayekupanda ngongoti

Wewe sikuandami ila nakutibia kichaa chako, ujue mi uduguu wako lazima nikuweke sawa wewe bonge nyanya 😂😂😂😂

Mimi video nilishaweka mwenzio na nakurudishia tena hiyo uangalie kwa makini
Naaam naaam

Sisi nikuangalia picha tu😂
 
Uduguu ushaanza kupoteza direction taratiiiiiibuuu unajaa kwenye mfumo 😂😂😂😂

Wewe si ndo umesema tuweke video, mimi nimeweka picha tayari ushageuka hutaki tena video kwann sasa?? 😂😂😂
Miongozo ntamtaja mpk arefuke uko aliko shenzy 🤣

Mimi wewe uduguu wangu, unajua maana ya uduguu?? Ni ndugu yako anayekufundisha kwenye nyeupe kusema nyeupe, na nyeusi kusema nyeusi 😂😂😂😂
Aliepropose video humu ninani??? Nilifuatilia koments za Nyuma vizuri sana Ndio nikaomba videos zilipoanzia sijawahi omba tuweke video aliesema Hivo niwewe na kumbe ile siku uliweka ulitaka tugundue nini?
Miongozo miongozo miongozo nawee njoo upewe mwongozo resources zipoooo !
 

Attachments

  • Screenshot_20240228-120503.jpg
    Screenshot_20240228-120503.jpg
    269.1 KB · Views: 9
Unamuumiza udugu wako

#kudate suala 1
Kuhongwa vinono suala lingine
😃😃😃
Inamuuma ww ulihongwa gari nini?? Mana yeye anahongwa maneno ya kubebishwa tena kwa kuforce 😂😂😂😂

Halafu ule uzi alijifungulia mwenyewe kuwarusha roho 😂😂😂😂
Sele alimpa password akaamua kuwarusha roho nyie JF tamu sana
 
Aliepropose video humu ninani??? Nilifuatilia koments za Nyuma vizuri sana Ndio nikaomba videos zilipoanzia sijawahi omba tuweke video aliesema Hivo niwewe na kumbe ile siku uliweka ulitaka tugundue nini?
Miongozo miongozo miongozo nawee njoo upewe mwongozo resources zipoooo !
Ile siku ile tulikuwa tuna vibe nikaweka video na ndio iliokuuma mpk ukaja na id nyingine kulalamika sasa pale uliumia nini?? Mbona video ya kawaida sana uduguuu 😂😂😂😂
Hebu weka yako nione ulivyo tukunyema

Miongozo sijawahi hata kuwa na msissimko naye kwanza ulisema ana Ukimwi, sasa mimi wagonjwa wa kazi gani?? Eeee uduguu wangu?? 😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂
Ndio muda wa kutangaza keki sasa
Muda wa mapumziko wanakula zao red velvet taratibu huku tunawasubiri
Hawana baya😂😂😂
Kabisa

Matajiri eeeh
Nauza keki jamani
Tena Red velvet ni za matajiri tupu

Kupamba stori,mnanunuliana na keki kabisa na wachumba wenu
Mimi huyooo naipamba ikapambika 🔥❤️👌👌👌
 
😂😂😂😂 kumbe kinachokuuma mimi kuwa msemaji wa wake wenzio??
Halafu mimi sio shortiiiii sawa?? Mimi size ya kati, shortiiiiii ni Selee anayekupanda ngongoti

Wewe sikuandami ila nakutibia kichaa chako, ujue mi uduguu wako lazima nikuweke sawa wewe bonge nyanya 😂😂😂😂

Mimi video nilishaweka mwenzio na nakurudishia tena hiyo uangalie kwa makini
Unafahamu fika kinachoniuma ni kunihusisha na ids mpya humu wewe unazingua na kutoka mwenyewe utasema yoteee afu mi sijafungua hata mdomo wangu!
Ukajifanya kumtumia Antoniia ndio kuja kufatilia vizuri kujua yalipoanzia !

Usijifanye fyatu wewe
 

Attachments

  • Screenshot_20240228-120503.jpg
    Screenshot_20240228-120503.jpg
    269.1 KB · Views: 8
Inamuuma ww ulihongwa gari nini?? Mana yeye anahongwa maneno ya kubebishwa tena kwa kuforce 😂😂😂😂

Halafu ule uzi alijifungulia mwenyewe kuwarusha roho 😂😂😂😂
Sele alimpa password akaamua kuwarusha roho nyie JF tamu sana
😃😃kumbe anafosi? Hahaaa
Dah! Si kaolewa na mjeda? Sa anafosi nn apate jipya lipi?
 
Back
Top Bottom