Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😆😆😆😆
Kila mwanaume anaibiwa yeye
Afu wanaume wa JF waongo jaman
Wanasifia msambwanda afu wanaibiwa na tuwatu twembamba
Lenie uliwezaje kumuiba babu
Nimeona yuko mjini😂😂😂😂
Ntaka npate hata tumilioni twa haraka
Kweli inabidi kwenda kuoga maji ya bahari kama kila mwanaume unaibiwa🤣🤣🤣

Babu Kwanza anitumie balansi yangu nimemnunia🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom