cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,367
- 188,068
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajeee, umevuka viwango vya FBI na CIA.Oyooooooo!! Wambea wenzangu kumbe Tin mjanja buana aliwalia sate ila waliishia kula kwa macho.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anasema waliotoa walitoa tu, mcity oyeee!!
Tin ww sio mjinga ni mjanja km mibabu yenye wajukuu haitaki kutulia na visate vyao kwann usivichune ebooh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu Tin kuna kitu unakizuia sana.. hebu funguka.