Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,942
Ngoja nikalale mpira utaendelea kesho mtangazaji anaenda kuhudumia ndoa 😂😂😂😂😄😄Wazee wa humu kumbe wanatoa 30k? Na wadada wanaona market value yao ndo hyo🤣🤣ngastuka
Ngoja nikalale mpira utaendelea kesho mtangazaji anaenda kuhudumia ndoa 😂😂😂😂😄😄Wazee wa humu kumbe wanatoa 30k? Na wadada wanaona market value yao ndo hyo🤣🤣ngastuka
Mpe heshima yake Charles kilian ana ududu mwingi sana pale Mererani hyo nakuibia tu siri😂😂😂😂 Vijana wanazidi kuelemewa pambano bado ni kali sana….
Binti kaamua kuwapa ushindi vibabu, haya namuona huyu kijana shabiki wa Fally Ipupa Charles kilian anamwaga kwacha za Zambia km 200 hunded sawa na elfu 20 na kitu hivi ya kitanzania….. anataka kuokoa goli upande wa vijana….. hebu subiri tuone km atafanikiwa 😂😂😂😂
Mechi bado inaendelea ila vijana wako hoi
Si nimeona anaenda kudance wap sijuiNgoja nikalale mpira utaendelea kesho mtangazaji anaenda kuhudumia ndoa 😂😂😂😂
😂😂😂😂 Bado sijarudikwamba dukani ndio basi tena?
Udugu wangu mkaree, mzuri halafu huringi wala nini?? Ndiomana Boss wa voucha anasuuza rungu uko lkn anarudi kwa bi mkubwa…. Anajua wangoni visu
Pua nzuri hiyo mbona, lips mashallah!!
Awwww kunogile udugu![]()



nimekumbuka kitu, nimechekaa had baas.


kila mtu atambeee na chakeee, wee ukipewa hiki, mwenzio anapewa kilee, tatizo watu wivuuu tyuuh.😂😂😂😂 Subiri tuone km ataokoa team, naona kwa mbali Mjep anakuja na fuko la vocha km za laki tano anamwagia warembo 😍😍😍😍Mpe heshima yake Charles kilian ana ududu mwingi sana pale Mererani hyo nakuibia tu siri
Subiri Tin atupe list ya wazee wa sate nikupasie, huenda kuna wengine hatuwajui..!!
Ila Tin huna baya ww wakileta visate vyao vitafune, mipapa wakale kwa wake zao![]()




nimechekaa had baas. Udugu una nn wee lakini??Treeeeenaah 👌nimekumbuka kitu, nimechekaa had baas.
Udugu huwa naringa huko mtaani, hapa JF niwaringie maroboti na vibabu miga? Wee kuwezaaa?
kila mtu atambeee na chakeee, wee ukipewa hiki, mwenzio anapewa kilee, tatizo watu wivuuu tyuuh.
Hizi ids mpya siziamini kabisa sijui kwanini!!Greetings to you all
Ladies , I appreciate your concern and grateful for the advice .
Thank you so much .
I can say Nina ka moyo mwepesi ..
Sidhani hata Nina nguvu za kurudi humu .
I'm just so gullible ..
Lovelovie
Mahondaw
@ lamomy
cocastic I'm sorry lakini sijakusema .
Samahani kwa yote .
Na pia sina shida kabisa na wewe na siwezi kukuonea wivu . Maana hata sikufahamu .
Kwa wale wadada wote inavyosemekana nimewachamba naomba radhi ..
Tins ....
Jaman cazeee niko hapa vereee, wee ndo ulipoteaa eti?Ninasinzia nikikuwaza wewe mtoto wa shangaz,,Ulikuwa wap wewe?
Kweli mtoto mkaree..
Ww rangi huioni hiyo..!!
Vipi kaka mshipa wa ngiri haujashtuka??
Mtoto ana viwango vya kimataifa huyo ooh!!
Sio ile mi kina Asha jibwa ya vingunguti![]()





uduguuu kwann lakiniii.Nakuleteaaa cazeee,Niletee hicho ulichonacho nkuchungulie




Hizo code zetu huwezi kuzijua 😂😂😂Si nimeona anaenda kudance wap sijui
Acha uoga Tin rudi bana
Mwenye jeiefu Max wengine wote wapangaji, hakuna kuogopa ww rudi…
Ningekuwa mimi ndio ww nawataja wote wanaotoa sate, na niliowananga nao wote nawananga live wajione… mwenye uchungu tuchambane. Mbwai mbwai hakuna kusurrender 🥷
Kwahiyo yule babu kweli alikukiss kwa sate kwenye rahumu, sijui inaandikwa hivo… hivi vi baby walker navyo vina majina magumu… aaarrrggggghhh maboss wa sate badilisheni magari mnatupa shida wambea kuyaandika, vichwa vinauma![]()





watu wanakiss kwa satee sauzand? Wallah nirudi kwa mganga, mbona mie nakiss kwa harufu ya perfume tyuuh. WoiiiiihNakazia shem aseme ukweli
Tushamzuia coca mara nyingi kubeba mabegi aondoke kwasababu yake![]()




jamanii mie sitakiii, aaaahKm nn etiii? Emu muachee huko shem wako.Coca shemeji ana mustach km komba maviii![]()





Oyooooooo!! Wambea wenzangu kumbe Tin mjanja buana aliwalia sate ila waliishia kula kwa macho..
Anasema waliotoa walitoa tu, mcity oyeee!!
Tin ww sio mjinga ni mjanja km mibabu yenye wajukuu haitaki kutulia na visate vyao kwann usivichune ebooh
Halafu Tin kuna kitu unakizuia sana.. hebu funguka.





nasemajeee, umevuka viwango vya FBI na CIA.Umenifuma
Coca njoo uselfike tena kantry anataka kuona uumbaji wa Mungu



kesho awepo hapa kwa heshima yake