Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Namna kijana amepata nguvu ya kuwashtua mabinti hapa, ila naona kuna tajiri la kihaya linakuja kwa mbali likiwa limepaki benz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Narudi kesho lazima tumpate mshindi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tupunguze za kuonja
 

Attachments

  • IMG_20240225_232717_023.jpg
    IMG_20240225_232717_023.jpg
    1.8 MB · Views: 4
We jamaa kwa kupenda kulia😂
Yanga jana tumeshinda
Liverpool leo bado kombe bichi la motoooo
Ila unalia bado
Narudi nyumbani narudi kwenye shida ya umeme narudi mahali kwenye joto kalii sana narudi home kigamboni nimefika moroco hapa nasubiria Turkish airlines inipeleke bongo moya kwa moya 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
View attachment 2916450
 
Narudi nyumbani narudi kwenye shida ya umeme narudi mahali kwenye joto kalii sana narudi home kigamboni nimefika moroco hapa nasubiria Turkish airlines inipeleke bongo moya kwa moya [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2916450
Mkuu kumbe ww ni Go.....!
Tunajuana basi aisee, but hii pic sio ya leo ni last year
 
😂😂😂 Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll

Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee 😂😂😂😂
Nini kinaendelea jirani 😅
 
Back
Top Bottom