cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Treeeeenaah
Kila mmoja akae kwenye nafasi yake
Udugu shuka chini kuna jambo![]()




nimeona hilo jamboo uduguuu.Treeeeenaah
Kila mmoja akae kwenye nafasi yake
Udugu shuka chini kuna jambo![]()




nimeona hilo jamboo uduguuu.Kaka,baada ya kutokukuona kwa mwaka mmoja,nimerudi nimekukuta umebadilika sana.
Umekuwa mbaba na midevu ya kutosha. cocastic umefanikiwa kumfungia ndani mkuu? Au Bado unambwela?



mie bado naswampaaaa.



Yanii hatari tupu sis! Kama ni yeye tunamkaribisha sanaaa chimboniiiIds mpya ni nyingi sana sema huyo ni Tin kweli, Ila kuna zingine unaweza shangaa nahisi za makaka zetu zinawekewa picha za warembo😂😂😂😂😂😂
Aje tu atupie maphoto.Yanii hatari tupu sis! Kama ni yeye tunamkaribisha sanaaa chimboniii
Nimemiss kuona lipsss kareee za mtrotro tins
Bado babu Migambuti anajifua kuingia kipindi cha pili 😂😂😂😂
Udugu narudi bado maba na miga wanapasha nje ya uwanja kwanza 😂😂😂😂Utaachishwa kazi,
Rudi utangaze mpira, DSTV itapata hasara.
Namna kijana amepata nguvu ya kuwashtua mabinti hapa, ila naona kuna tajiri la kihaya linakuja kwa mbali likiwa limepaki benz 😂😂😂😂Narudi nyumbani narudi kwenye shida ya umeme narudi mahali kwenye joto kalii sana narudi home kigamboni nimefika moroco hapa nasubiria Turkish airlines inipeleke bongo moya kwa moya 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
View attachment 2916450
Uje na notes za achraf HakimiNarudi nyumbani narudi kwenye shida ya umeme narudi mahali kwenye joto kalii sana narudi home kigamboni nimefika moroco hapa nasubiria Turkish airlines inipeleke bongo moya kwa moya 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
View attachment 2916450
Jero jero hzo usisahau kesho kupita kijiweni
Sio wewe kusema wenzio wee usisemwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭!Kabisa ccy yani ukisemwa, unasema, ukisema unasemwa kazi kwisha ccy😂😂
Designer wetuSaint saint saint😋😋😋😋😋😋🙆🙆🙆
Designer wetuSaint saint saint😋😋😋😋😋😋🙆🙆🙆
Amekua mkubwa hivo🙆🙆Sio wewe kusema wee usisemwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭!
Sis dogo aliweka kimeo changu kwenye beseni la majii ndio nimekitoa kwenye mchele saii nashukuru kimewaka asee Hapa Nilikua najaribu kama kinaingia online !😁
Mrare unono wapendwaaa ✌️!
Karibu MkuuHivi umepika mwenyewe madam?
Napenda sana mkate wa Mchele.
Za masiku lakini mkuu? Heri ya mwaka mpya.
Asante itabid nije huko nipewe darasa la kubake Auntie😍😍Designer wetu
Karibu tule
Karibuuu home mtaniii, sasa si ungewahi kuja ili upake bleach na ufurahie kwa mkapa jana.Narudi nyumbani narudi kwenye shida ya umeme narudi mahali kwenye joto kalii sana narudi home kigamboni nimefika moroco hapa nasubiria Turkish airlines inipeleke bongo moya kwa moya
View attachment 2916450





Bado babu Migambuti anajifua kuingia kipindi cha pili
Udugu kesho narudi kuendeleza hii mechi wasintanie vibabu na vijana
Mchuano mkali sate sauzand vs afu tatu




afu ni final sasa.Namna kijana amepata nguvu ya kuwashtua mabinti hapa, ila naona kuna tajiri la kihaya linakuja kwa mbali likiwa limepaki benz
Narudi kesho lazima tumpate mshindi




