Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lamomy

Ukikaa karibu na mie lazima ukose pumzi, pua yangu inabeba hewa yotee km tank la 5000 litres.




View attachment 2916247
😍😍😍😍😍 oyoooooo.!!
Jamani mtoto mkaree huyu.!! Mjep mahari iongezwee rangi ya mtume, udongo wa dubai, rangi ya pesa hii
Hili toto bila tanesco unamulikwa ndani…. Mtoto portable easy to carry 😘😘😘💋💋💋
Haya wale nyoko nyoko chuma mmekiona.???
Haya mkajambe week end imeisha kibabe 😍😍😍
 
Oyooooooooo.!!! Tin njoo bana km nguvu huna ntakupa Mo energy shostizo 😘😘😘

Njoo tuendelee kuwadiscuss wale vibabu wa 45s si unakumbuka shogare 😜
Mi nimekumiss ndiomana nimekuchokonoa urudi hapa….
Halafu usiogope maneno ya watu wasiokulipia bills sawa?? Njoo bana, halafu eti mjep alinunua kweli vyombo??
Halafu hii id nyingine mbona..?!! Tin unanichanganya sasa?? Ile ya siku ile iko wapi??
Kha umbeya ndo siuwezi haha kifua Sina mie 😂.

Asante sana

Ile I'd ya Waylen hata siikumbuki password na email pia .

Nimekuja kuadress hii issue na kuomba msamaha kwa Coca haswa .
 
oyoooooo.!!
Jamani mtoto mkaree huyu.!! Mjep mahari iongezwee rangi ya mtume, udingo wa dubai, rangi ya pesa hii
Hili toto bila tanesco unamulikwa ndani…. Mtoto portable easy to carry
Haya wale nyoko nyoko chuma mmekiona.???
Haya mkajambe week end imeisha kibabe
uduguu taratibuu bas nawee.
Hugopii kufa kwa kukosa oxygen, usikae karibu na mie wallah.
 
Kha umbeya ndo siuwezi haha kifua Sina mie 😂.

Asante sana

Ile I'd ya Waylen hata siikumbuki password na email pia .

Nimekuja kuadress hii issue na kuomba msamaha kwa Coca haswa .
Tumekuelewa mwaya kwa niaba ya wote japo mi hujanisema…. Kwanza sina cha kusemewa 😜😂😂😂
Rudi bana km hivi tuendelee kupiga story, hayo ya nyuma yalishapita songa mbele km injili…

Ila tuache utani shogare ulijua kuwananga wenzio 😜
Mi bana fanya uwezavyo unipe majina ya hao watoa sate 😂😂😂
Njoo pm hapa usiwataje watakuvamia thawaa?? 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Tumekuelewa mwaya kwa niaba ya wote japo mi hujanisema…. Kwanza sina cha kusemewa
Rudi bana km hivi tuendelee kupiga story, hayo ya nyuma yalishapita songa mbele km injili…

Ila tuache utani shogare ulijua kuwananga wenzio
Mi bana fanya uwezavyo unipe majina ya hao watoa sate
Njoo pm hapa usiwataje watakuvamia thawaa??
na mie unijie kwa majaliwa unitajie.
 
uduguu taratibuu bas nawee.
Hugopii kufa kwa kukosa oxygen, usikae karibu na mie wallah.
Udugu wangu mkaree, mzuri halafu huringi wala nini?? Ndiomana Boss wa voucha anasuuza rungu uko lkn anarudi kwa bi mkubwa…. Anajua wangoni visu 😍😍😍
Pua nzuri hiyo mbona, lips mashallah!!
Awwww kunogile udugu 😂😂😂
 
😍😍😍😍😍 oyoooooo.!!
Jamani mtoto mkaree huyu.!! Mjep mahari iongezwee rangi ya mtume, udingo wa dubai, rangi ya pesa hii
Hili toto bila tanesco unamulikwa ndani…. Mtoto portable easy to carry 😘😘😘💋💋💋
Haya wale nyoko nyoko chuma mmekiona.???
Haya mkajambe week end imeisha kibabe 😍😍😍
Una kipaji cha udalali
🤣
 
Tumekuelewa mwaya kwa niaba ya wote japo mi hujanisema…. Kwanza sina cha kusemewa 😜😂😂😂
Rudi bana km hivi tuendelee kupiga story, hayo ya nyuma yalishapita songa mbele km injili…

Ila tuache utani shogare ulijua kuwananga wenzio 😜
Mi bana fanya uwezavyo unipe majina ya hao watoa sate 😂😂😂
Njoo pm hapa usiwataje watakuvamia thawaa?? 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
So sad 😢

Humu hapana niwachie jeifu yenu ... Nilikosea kama mtu na Maisha yangu humu kama member yameisha .

Nilingia kama guest mimi ndo nikaona haya tena nikaja Tena ..
 
So sad 😢

Humu hapana niwachie jeifu yenu ... Nilikosea kama mtu na Maisha yangu humu kama member yameisha .

Nilingia kama guest mimi ndo nikaona haya tena nikaja Tena ..
Acha uoga Tin rudi bana 😘😘😘
Mwenye jeiefu Max wengine wote wapangaji, hakuna kuogopa ww rudi…
Ningekuwa mimi ndio ww nawataja wote wanaotoa sate, na niliowananga nao wote nawananga live wajione… mwenye uchungu tuchambane. Mbwai mbwai hakuna kusurrender 🥷🏿🤺💣

Kwahiyo yule babu kweli alikukiss kwa sate kwenye rahumu, sijui inaandikwa hivo… hivi vi baby walker navyo vina majina magumu… aaarrrggggghhh maboss wa sate badilisheni magari mnatupa shida wambea kuyaandika, vichwa vinauma 😂😂😂😂
 
aletuya could you make clear uongo anaoeneza huyo jamaa maana amekuja kuchafua sura na majina yetu hapa na watu wanaamini either nilikua na mahusiano na wewe au nilikua nakushawishi kuwa na mahusiano nanwewe ndiyo image iliyotapakazwa hapa
Kindly make it clear
Sorry kwa usumbufu wote uliopata
Hatukuwahi kuwa na mahusiano Wala chochote zaidi ya urafiki .

Na hukuwahi onesha nia yoyote .. sorry, I apologize for dragging you into this matter .
 
IMG_20240225_151736_315.jpg
 
aletuya could you make clear uongo anaoeneza huyo jamaa maana amekuja kuchafua sura na majina yetu hapa na watu wanaamini either nilikua na mahusiano na wewe au nilikua nakushawishi kuwa na mahusiano nanwewe ndiyo image iliyotapakazwa hapa
Kindly make it clear
Nakazia shem aseme ukweli
Tushamzuia coca mara nyingi kubeba mabegi aondoke kwasababu yake 😜
 
Back
Top Bottom