Asante nashukuru sana .Karibuuu sanaa DA Tin, mie mbona sina kinyongoo.
Hebu niblec shingo niionee jomonee.![]()
Nimesahau hayo mambo na nimekoma ..
Asante nashukuru sana .Karibuuu sanaa DA Tin, mie mbona sina kinyongoo.
Hebu niblec shingo niionee jomonee.![]()
😍😍😍😍😍 oyoooooo.!!Lamomy
Ukikaa karibu na mie lazima ukose pumzi, pua yangu inabeba hewa yotee km tank la 5000 litres.
View attachment 2916247
😂😂😂😂 Si nataka nimsikie Tin utetezi wake jamani!!huna jambo dogo kabisaaa uduguu.
Unauliziaa na vyomboo, daaah
Kha umbeya ndo siuwezi haha kifua Sina mie 😂.Oyooooooooo.!!! Tin njoo bana km nguvu huna ntakupa Mo energy shostizo 😘😘😘
Njoo tuendelee kuwadiscuss wale vibabu wa 45s si unakumbuka shogare 😜
Mi nimekumiss ndiomana nimekuchokonoa urudi hapa….
Halafu usiogope maneno ya watu wasiokulipia bills sawa?? Njoo bana, halafu eti mjep alinunua kweli vyombo??
Halafu hii id nyingine mbona..?!! Tin unanichanganya sasa?? Ile ya siku ile iko wapi??
oyoooooo.!!
Jamani mtoto mkaree huyu.!! Mjep mahari iongezwee rangi ya mtume, udingo wa dubai, rangi ya pesa hii
Hili toto bila tanesco unamulikwa ndani…. Mtoto portable easy to carry
Haya wale nyoko nyoko chuma mmekiona.???
Haya mkajambe week end imeisha kibabe![]()



uduguu taratibuu bas nawee.



Tumekuelewa mwaya kwa niaba ya wote japo mi hujanisema…. Kwanza sina cha kusemewa 😜😂😂😂Kha umbeya ndo siuwezi haha kifua Sina mie 😂.
Asante sana
Ile I'd ya Waylen hata siikumbuki password na email pia .
Nimekuja kuadress hii issue na kuomba msamaha kwa Coca haswa .
Si nataka nimsikie Tin utetezi wake jamani!!



sasa ndo utafanya akimbie tena wallah.Tumekuelewa mwaya kwa niaba ya wote japo mi hujanisema…. Kwanza sina cha kusemewa
Rudi bana km hivi tuendelee kupiga story, hayo ya nyuma yalishapita songa mbele km injili…
Ila tuache utani shogare ulijua kuwananga wenzio
Mi bana fanya uwezavyo unipe majina ya hao watoa sate
Njoo pm hapa usiwataje watakuvamia thawaa??![]()



na mie unijie kwa majaliwa unitajie.Udugu wangu mkaree, mzuri halafu huringi wala nini?? Ndiomana Boss wa voucha anasuuza rungu uko lkn anarudi kwa bi mkubwa…. Anajua wangoni visu 😍😍😍uduguu taratibuu bas nawee.
Hugopii kufa kwa kukosa oxygen, usikae karibu na mie wallah.
![]()
Hawezi kukimbia bana 😂😂😂sasa ndo utafanya akimbie tena wallah.
😂😂😂 Subiri Tin atupe list ya wazee wa sate nikupasie, huenda kuna wengine hatuwajui..!!na mie unijie kwa majaliwa unitajie.
Una kipaji cha udalali😍😍😍😍😍 oyoooooo.!!
Jamani mtoto mkaree huyu.!! Mjep mahari iongezwee rangi ya mtume, udingo wa dubai, rangi ya pesa hii
Hili toto bila tanesco unamulikwa ndani…. Mtoto portable easy to carry 😘😘😘💋💋💋
Haya wale nyoko nyoko chuma mmekiona.???
Haya mkajambe week end imeisha kibabe 😍😍😍
Ninasinzia nikikuwaza wewe mtoto wa shangaz,,Ulikuwa wap wewe?cuzoo una nn wee lakini?
So sad 😢Tumekuelewa mwaya kwa niaba ya wote japo mi hujanisema…. Kwanza sina cha kusemewa 😜😂😂😂
Rudi bana km hivi tuendelee kupiga story, hayo ya nyuma yalishapita songa mbele km injili…
Ila tuache utani shogare ulijua kuwananga wenzio 😜
Mi bana fanya uwezavyo unipe majina ya hao watoa sate 😂😂😂
Njoo pm hapa usiwataje watakuvamia thawaa?? 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
😂😂😂 Kweli mtoto mkaree..Una kipaji cha udalali
🤣
Niletee hicho ulichonacho nkuchungulieWee cazee em sema kweliii,
Nimekumic piaaa.
Acha uoga Tin rudi bana 😘😘😘So sad 😢
Humu hapana niwachie jeifu yenu ... Nilikosea kama mtu na Maisha yangu humu kama member yameisha .
Nilingia kama guest mimi ndo nikaona haya tena nikaja Tena ..
Sorry kwa usumbufu wote uliopataaletuya could you make clear uongo anaoeneza huyo jamaa maana amekuja kuchafua sura na majina yetu hapa na watu wanaamini either nilikua na mahusiano na wewe au nilikua nakushawishi kuwa na mahusiano nanwewe ndiyo image iliyotapakazwa hapa
Kindly make it clear
Nakazia shem aseme ukwelialetuya could you make clear uongo anaoeneza huyo jamaa maana amekuja kuchafua sura na majina yetu hapa na watu wanaamini either nilikua na mahusiano na wewe au nilikua nakushawishi kuwa na mahusiano nanwewe ndiyo image iliyotapakazwa hapa
Kindly make it clear