Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ha
Acha uoga Tin rudi bana 😘😘😘
Mwenye jeiefu Max wengine wote wapangaji, hakuna kuogopa ww rudi…
Ningekuwa mimi ndio ww nawataja wote wanaotoa sate, na niliowananga nao wote nawananga live wajione… mwenye uchungu tuchambane. Mbwai mbwai hakuna kusurrender 🥷🏿🤺💣

Kwahiyo yule babu kweli alikukiss kwa sate kwenye rahumu, sijui inaandikwa hivo… hivi vi baby walker navyo vina majina magumu… aaarrrggggghhh maboss wa sate badilisheni magari mnatupa shida wambea kuyaandika, vichwa vinauma 😂😂😂😂
Eeh wakaka wa watu jamani dah
Hakuna kiss Wala nn dah

Eeh waache lol 😅😅

Halafu hatukuwa wapenzi so hiyo kama walitoa ni walitoa tu .

Mimi tu nilikua mjinga wa mwisho .
 
Greetings to you all
Ladies , I appreciate your concern and grateful for the advice .
Thank you so much .

I can say Nina ka moyo mwepesi ..
Sidhani hata Nina nguvu za kurudi humu .

I'm just so gullible ..
Lovelovie
Mahondaw
@ lamomy

cocastic I'm sorry lakini sijakusema .
Samahani kwa yote .

Na pia sina shida kabisa na wewe na siwezi kukuonea wivu . Maana hata sikufahamu .

Kwa wale wadada wote inavyosemekana nimewachamba naomba radhi ..

Tins ....
Babe gal rudi bana achana na mambo ya nyuma cz hayana maana na hakuna wa kukusumbua cz hukuli kwa mtu babe.
 
Udugu wangu mkaree, mzuri halafu huringi wala nini?? Ndiomana Boss wa voucha anasuuza rungu uko lkn anarudi kwa bi mkubwa…. Anajua wangoni visu
Pua nzuri hiyo mbona, lips mashallah!!
Awwww kunogile udugu
sijamuona mwambie kwa heshima yangu arudie
 
Babe gal rudi bana achana na mambo ya nyuma cz hayana maana na hakuna wa kukusumbua cz hukuli kwa mtu babe.
Shukrani sana
Mie kwa kweli akhuu ..

I guess itanisaidia mm maana kila nikiona Jf naikumbuka hii scandal .

Pole sana kama na wewe nilikusema maana hata sijui .
 
Oyooooooooo.!!! Tin njoo bana km nguvu huna ntakupa Mo energy shostizo

Njoo tuendelee kuwadiscuss wale vibabu wa 45s si unakumbuka shogare
Mi nimekumiss ndiomana nimekuchokonoa urudi hapa….
Halafu usiogope maneno ya watu wasiokulipia bills sawa?? Njoo bana, halafu eti mjep alinunua kweli vyombo??
Halafu hii id nyingine mbona..?!! Tin unanichanganya sasa?? Ile ya siku ile iko wapi??
Aikooooo!
 
Shukrani sana
Mie kwa kweli akhuu ..

I guess itanisaidia mm maana kila nikiona Jf naikumbuka hii scandal .

Pole sana kama na wewe nilikusema maana hata sijui .
Achana na haya mambo Tin cz hata mim pia husema watu tena kwa mabaya na mazuri. Sisi sote ni binadamu na wadhaifu.

Lakini kama umeamua kutojihusisha kwa sababu ya mtu unaemzidi akili ccy unakosea, raha jipe mwenyewe.
 
Oyooooooo!! Wambea wenzangu kumbe Tin mjanja buana aliwalia sate ila waliishia kula kwa macho.. 😂😂😂😂
Anasema waliotoa walitoa tu, mcity oyeee!!
Tin ww sio mjinga ni mjanja km mibabu yenye wajukuu haitaki kutulia na visate vyao kwann usivichune ebooh 🤣🤣🤣🤣

Halafu Tin kuna kitu unakizuia sana.. hebu funguka.

🤣🤣
Hahaa jamani wewe dada 😅😅
Eeh Mimi siwezi maneno Yani ngoja niongee kwa kutulia .

Sio wababu bhana , hao wakaka ni vijana kabisa 😅
 
🤣🤣
Hahaa jamani wewe dada 😅😅
Eeh Mimi siwezi maneno Yani ngoja niongee kwa kutulia .

Sio wababu bhana , hao wakaka ni vijana kabisa 😅
😂😂😂😂 Haya kaa utulie unisimulie mi niko hapa nasubiri mwaya mdogo angu mchwitiiii Tin….
Hao ni vibabu bana, vijana wa humu wote wanahonga afu tatu na wanakuja kukufungulia uzi juu 🤣🤣🤣

Hao vibabu ndiomana hata hawakulalamika wenyewe wao wanataka uwasafishe tyuuu.!!
Hao wakishika nyonyo kwa sate wanaridhika 🤣🤣🤣
Halafu mi ninakoendea ntapigwa
 
🤣🤣
Hahaa jamani wewe dada 😅😅
Eeh Mimi siwezi maneno Yani ngoja niongee kwa kutulia .

Sio wababu bhana , hao wakaka ni vijana kabisa 😅
Sa kumbe ni vijana, em rudi kundini.
Tena urudi na kasi mpya.
 
Achana na haya mambo Tin cz hata mim pia husema watu tena kwa mabaya na mazuri. Sisi sote ni binadamu na wadhaifu.

Lakini kama umeamua kutojihusisha kwa sababu ya mtu unaowazidi akili ccy unakosea, raha jipe mwenyewe.
Yani Asante sana ..

Hii ndo adhabu nzuri nayotakiwa kuipata baada ya kuwa mjinga kiasi kile .

Muda mwingine inafaa kujipa adhabu mwenyewe baada ya kushindwa kutumia akili na kutumia hisia .
 
Back
Top Bottom