Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Achana na haya mambo Tin cz hata mim pia husema watu tena kwa mabaya na mazuri. Sisi sote ni binadamu na wadhaifu.

Lakini kama umeamua kutojihusisha kwa sababu ya mtu unaowazidi akili ccy unakosea, raha jipe mwenyewe.
Yani Asante sana ..

Hii ndo adhabu nzuri nayotakiwa kuipata baada ya kuwa mjinga kiasi kile .

Muda mwingine inafaa kujipa adhabu mwenyewe baada ya kushindwa kutumia akili na kutumia hisia .
 
Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)

Ila jeifu lol humu ndani ni 🔥

Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .

Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .

😂😂😂😂 Haya kaa utulie unisimulie mi niko hapa nasubiri mwaya mdogo angu mchwitiiii Tin….
Hao ni vibabu bana, vijana wa humu wote wanahonga afu tatu na wanakuja kukufungulia uzi juu 🤣🤣🤣

Hao vibabu ndiomana hata hawakulalamika wenyewe wao wanataka uwasafishe tyuuu.!!
Hao wakishika nyonyo kwa sate wanaridhika 🤣🤣🤣
Halafu mi ninakoendea ntapigwa
 
Na coca pia ni rafiki yangu tu watu wajue hivyo maana nimeshatukanwa hadharani kwenye comment na wengine kunifata pm kunitukana eti nakula mashoga

Yani waswahili wanachulia maisha ya jf too serious

Watu kibao nawatania humu wengi siwafahamu lkn wajumbe either wa wivu wao binafsi au kwa kuwa na mahusiano na hao watu wanadhani nawa seduce kuwataka au natoka nao
Coca njoo shemeji anakukana hadharani leo 😂😂😂😂😂
Uduguu umepewa talaka wahi uje unisaidie kulia 😭😭😭😭😭😭

Ila watu mapashkuna khaaa!! Kwahiyo mnaenda pm kumsema mtu utafikiri mnamjua au huyo coca mnamjua??
Kweli JF watu wanayaweza sio kidogo 😂😂😂
Shem ungewaambia “ndio na ww njoo nikukaze” ili watumie muda wao vzr humu JF shubhamiti hao 😂😂😂
 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] oyoooooo.!!
Jamani mtoto mkaree huyu.!! Mjep mahari iongezwee rangi ya mtume, udongo wa dubai, rangi ya pesa hii
Hili toto bila tanesco unamulikwa ndani…. Mtoto portable easy to carry [emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
Haya wale nyoko nyoko chuma mmekiona.???
Haya mkajambe week end imeisha kibabe [emoji7][emoji7][emoji7]
Sijamuona, mzuri kweli? Mkaree kweli?
Warumi......
 
Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)

Ila jeifu lol humu ndani ni 🔥

Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .

Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .
Oyoooooooo!! Vijana kuna ujumbe wenu hapa 😂😂😂😂
Ila vibabu vina sifa yani kiss vinatoa sate whooooufff 😂😂😂
Vijana ongezeni kasi vibabu vinashambulia sana karibu na goli lenu
 
Siweziiiiiiii shindana na people venye wako mwisho wa reli 🤣🤣
😂😂😂 Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll

Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom