Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,568
- 95,186
Treeeeeenaaahh!!! 🤣🤣🤣🤣🤣Wifi mtu nitakuja na kundi la vyura kutoka Chanika, na vijora vyetu vya mpasuo.
Wifi umechachuka mno
Treeeeeenaaahh!!! 🤣🤣🤣🤣🤣Wifi mtu nitakuja na kundi la vyura kutoka Chanika, na vijora vyetu vya mpasuo.
Pole sana 😂😂😂😂😂Dah umeamua kunipiga na kitu kizito mchuchu
kaa hapo hapo nikubless😂😂😂😂 na ndo tunaamka uko wapi??
Hebu nibless kwanza na foto
Mwaka huu naloPole sana 😂😂😂😂😂
😍😍😍😍 fanya mambo mahi dihakaa hapo hapo nikubless
Nishakubless mbona 😁😁😍😍😍😍 fanya mambo mahi diha
😍😍😍😍 location nzuri
Tatizo umbea mwingi mpk nimepitwa 🤣🤣🤣Nishakubless mbona 😁😁
Usinicheke lkn maana mhhhhh.😍😍😍😍 location nzuri
Haya geuza camera bathiiiii kuna kitu unakificha bana 🥹
😂😂😂😂 Pole utapata mwingineMwaka huu nalo
Mimi sikucheki bana, kwanza ww ni super tall wifi yangu 😂😂😂😂Usinicheke lkn maana mhhhhh.
😂😂😂😂😂Shida hii picha bn macho yameshakwivaMimi sikucheki bana, kwanza ww ni super tall wifi yangu 😂😂😂😂
Halafu mpk leo sijawahi kujua ulikuwa unaniita wifi kwa nani??? 🤣🤣🤣
Weeee!! Kumbe?? 😂😂😂😂Kwa Mjep
Alafu me sio mrefu nalingana urefu na Mahondaw kabisa.
Weka bana ndio nzuri hiyo, unakula week end kwa raha zako mahi 😂😂😂😂😂😂😂😂Shida hii picha bn macho yameshakwiva
Achaneni navyo mtapata vipya from Uturuki😂😂😂Weeee!! Kumbe?? 😂😂😂😂
Huyo shemeji yangu kwa coca bana
Sema huyo kaka ako katuudhi, kuna vyombo vyetu vilinunuliwa havijafika kwa bi mkubwa coca 🤣🤣🤣
Kesho naweka mafuta kirikuu tunavifata
Weeeee hatutakiiiii 😂😂😂Achaneni navyo mtapata vipya from Uturuki😂😂😂
😍😍😍😍😍 uko msupuuuu mahi
Achana navyo hivoWeeeee hatutakiiiii 😂😂😂
Nishakodi tarumbeta la kwenda kufatia vyombo 😂😂😂