Tajiri wa roho weweUtajiri nautoa wapi mdogo wangu
Mimi kapuku tu
Nimekuja tayari
Gwe nkamu ugweeMimi huwa sifukuzi wageni nkamu...😉
Kabali yake chino😂😂😂😂 ubuyu wetu ufike kwa wakati sio tuanze kuteseka
Gwe nkamu ugwee
Hebu punguza ile emoj kwanza halafu nijue kama msaada wa mapazia nakupa au sikupi.
Chino wana man upo?? Na wewe km kaka kuona khaa!! 😂😂😂Kabali yake chino
Uduguu nimefika japo kwa kuchelewa, nilikuwa safarini leo…Lamomy uduguuu uko wapiiii nna jamboo nataka nikupeee, cna kifua hicho cha kuhifadhiiii.
Hebu fanyaa ukujee hukuu,![]()
Oyoooooooo.!!! Wifi la dunia 😍😍😍😍Jumatatu naenda kujaza fomu mkopo kausha damu....😂😂😂 Udugu haiwezi kupata tabu Mie nipo
😂😂😂😂 na ndo tunaamka uko wapi??
😂😂😂😂 Walete ubuyu kwa wakatiyaan uduguu, mie huku mbavu zinauma kwa kucheka.
😂😂😂 hata km vimepasuka tutavibeba vyombo vyetukwa kweli atuambie tuvifatee wenyewee.
Hahaha nimecheka kinomaChino wana man upo?? Na wewe km kaka kuona khaa!! 😂😂😂
😂😂😂 Weee kaa kwa kutulia, mwenzio nishatolewa mahari japo kwa mbinde sana na bwana harusi….Hahaha nimecheka kinoma
Endelea kunitunzia tu.
Very soon narudi mchuchu.
Dah umeamua kunipiga na kitu kizito mchuchu😂😂😂 Weee kaa kwa kutulia, mwenzio nishatolewa mahari japo kwa mbinde sana na bwana harusi….
Umechelewa kalamu imeshaliwa 🤣🤣🤣
Treeeeeenaaahh!!! 🤣🤣🤣🤣🤣Wifi mtu nitakuja na kundi la vyura kutoka Chanika, na vijora vyetu vya mpasuo.
Pole sana 😂😂😂😂😂Dah umeamua kunipiga na kitu kizito mchuchu