cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Shemeji wananzengo tumegoma mpk tuone video
Na vyombo vyetu tunavitaka





Shemeji wananzengo tumegoma mpk tuone video
Na vyombo vyetu tunavitaka





Hayaa vijanaa tena wakaka, watajee haraka na sie tuwarukie, tukapate sate sauzand.
Hahaa jamani wewe dada
Eeh Mimi siwezi maneno Yani ngoja niongee kwa kutulia .
Sio wababu bhana , hao wakaka ni vijana kabisa![]()







Haya kaa utulie unisimulie mi niko hapa nasubiri mwaya mdogo angu mchwitiiii Tin….
Hao ni vibabu bana, vijana wa humu wote wanahonga afu tatu na wanakuja kukufungulia uzi juu
Hao vibabu ndiomana hata hawakulalamika wenyewe wao wanataka uwasafishe tyuuu.!!
Hao wakishika nyonyo kwa sate wanaridhika![]()
Halafu mi ninakoendea ntapigwa




kivumbiiii leooo.Vyombo niliwapelekea wake zangu wanneelewa neno wake wanne



wote hao? Sasa si ungewachukua wachague wao, kumuita tin akusaidie, kwioooo??Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)
Ila jeifu lol humu ndani ni
Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .
Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .






Kaka,baada ya kutokukuona kwa mwaka mmoja,nimerudi nimekukuta umebadilika sana.
Coca njoo shemeji anakukana hadharani leo
Uduguu umepewa talaka wahi uje unisaidie kulia
Ila watu mapashkuna khaaa!! Kwahiyo mnaenda pm kumsema mtu utafikiri mnamjua au huyo coca mnamjua??
Kweli JF watu wanayaweza sio kidogo
Shem ungewaambia “ndio na ww njoo nikukaze” ili watumie muda wao vzr humu JF shubhamiti hao![]()




kuhusu mie watasema waooo.



muache afunguke yeye mjep, mie mtazamajiiii.Oyoooooooo!! Vijana kuna ujumbe wenu hapa
Ila vibabu vina sifa yani kiss vinatoa sate whooooufff
Vijana ongezeni kasi vibabu vinashambulia sana karibu na goli lenu





mbavu zinauma kwa kuchekaaa.Nakaziaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....!Achana na haya mambo Tin cz hata mim pia husema watu tena kwa mabaya na mazuri. Sisi sote ni binadamu na wadhaifu.
Lakini kama umeamua kutojihusisha kwa sababu ya mtu unaemzidi akili ccy unakosea, raha jipe mwenyewe.
Ids mpya ni nyingi sana sema huyo ni Tin kweli, Ila kuna zingine unaweza shangaa za makaka zetu zinawekewa picha za warembo😂😂😂😂😂😂Hizi ids mpya siziamini kabisa sijui kwanini!!
Kama ni wewe tins uwe na amani tu mamy karibu sana tuendelee kuselfika!
Jero jero hzo usisahau kesho kupita kijiweniYNWA🔥
Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll
Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee![]()




umekua Mpenjaaa uduguuuu? Mara hii?Vijana wanazidi kuelemewa pambano bado ni kali sana….
Binti kaamua kuwapa ushindi vibabu, haya namuona huyu kijana shabiki wa Fally Ipupa Charles kilian anamwaga kwacha za Zambia km 200 hunded sawa na elfu 20 na kitu hivi ya kitanzania….. anataka kuokoa goli upande wa vijana….. hebu subiri tuone km atafanikiwa
Mechi bado inaendelea ila vijana wako hoi





wee uduguuuu?? Nn hikii??Saint saint saint😋😋😋😋😋😋🙆🙆🙆YNWA🔥
Hivi umepika mwenyewe madam?YNWA🔥
Utaachishwa kazi,Ngoja nikalale mpira utaendelea kesho mtangazaji anaenda kuhudumia ndoa![]()





Kabisa ccy yani ukisemwa, unasema, ukisema unasemwa kazi kwisha ccy😂😂Nakaziaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....!
Uko na akili mingi sawa sis!
Ye akuje tu tuendelee kusemana iwe nyuma ya pazia iwe huku jukwaani mwisho wa siku mafuta atajitenga na maji tu!
Subiri tuone km ataokoa team, naona kwa mbali Mjep anakuja na fuko la vocha km za laki tano anamwagia warembo
Vijana wamechoka sana sijui itakuwaje leo mtanange ni mkali





badoo lekcharaaa Jack Palladino anakuja na
za UK kwenye
.



