Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)

Ila jeifu lol humu ndani ni 🔥

Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .

Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .

😂😂😂😂 Haya kaa utulie unisimulie mi niko hapa nasubiri mwaya mdogo angu mchwitiiii Tin….
Hao ni vibabu bana, vijana wa humu wote wanahonga afu tatu na wanakuja kukufungulia uzi juu 🤣🤣🤣

Hao vibabu ndiomana hata hawakulalamika wenyewe wao wanataka uwasafishe tyuuu.!!
Hao wakishika nyonyo kwa sate wanaridhika 🤣🤣🤣
Halafu mi ninakoendea ntapigwa
 
Na coca pia ni rafiki yangu tu watu wajue hivyo maana nimeshatukanwa hadharani kwenye comment na wengine kunifata pm kunitukana eti nakula mashoga

Yani waswahili wanachulia maisha ya jf too serious

Watu kibao nawatania humu wengi siwafahamu lkn wajumbe either wa wivu wao binafsi au kwa kuwa na mahusiano na hao watu wanadhani nawa seduce kuwataka au natoka nao
Coca njoo shemeji anakukana hadharani leo 😂😂😂😂😂
Uduguu umepewa talaka wahi uje unisaidie kulia 😭😭😭😭😭😭

Ila watu mapashkuna khaaa!! Kwahiyo mnaenda pm kumsema mtu utafikiri mnamjua au huyo coca mnamjua??
Kweli JF watu wanayaweza sio kidogo 😂😂😂
Shem ungewaambia “ndio na ww njoo nikukaze” ili watumie muda wao vzr humu JF shubhamiti hao 😂😂😂
 
oyoooooo.!!
Jamani mtoto mkaree huyu.!! Mjep mahari iongezwee rangi ya mtume, udongo wa dubai, rangi ya pesa hii
Hili toto bila tanesco unamulikwa ndani…. Mtoto portable easy to carry
Haya wale nyoko nyoko chuma mmekiona.???
Haya mkajambe week end imeisha kibabe
Sijamuona, mzuri kweli? Mkaree kweli?
Warumi......
 
Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)

Ila jeifu lol humu ndani ni 🔥

Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .

Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .
Oyoooooooo!! Vijana kuna ujumbe wenu hapa 😂😂😂😂
Ila vibabu vina sifa yani kiss vinatoa sate whooooufff 😂😂😂
Vijana ongezeni kasi vibabu vinashambulia sana karibu na goli lenu
 
Siweziiiiiiii shindana na people venye wako mwisho wa reli 🤣🤣
😂😂😂 Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll

Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee 😂😂😂😂
 
😂😂😂 Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll

Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee 😂😂😂😂
😄😄Wazee wa humu kumbe wanatoa 30k? Na wadada wanaona market value yao ndo hyo🤣🤣ngastuka
 
Ooh safi sana

Wazee tuwaheshimu tu inatosha ..
Vijana japo wasumbufu tuwavumilie tu ..
😂😂😂😂 Vijana wanazidi kuelemewa pambano bado ni kali sana….
Binti kaamua kuwapa ushindi vibabu, haya namuona huyu kijana shabiki wa Fally Ipupa Charles kilian anamwaga kwacha za Zambia km 200 hunded sawa na elfu 20 na kitu hivi ya kitanzania….. anataka kuokoa goli upande wa vijana….. hebu subiri tuone km atafanikiwa 😂😂😂😂
Mechi bado inaendelea ila vijana wako hoi
 
Back
Top Bottom