Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Aikooooo! Jf kila mtu mjanja mjanja, bora niende chengula nikapige breakdanceHumu ndani ni hatari Aikoo!!
Ni kujitekenya na kucheka mwenyewe…..
Dah! Mecheka sana hebu niache kwanza

Aikooooo! Jf kila mtu mjanja mjanja, bora niende chengula nikapige breakdanceHumu ndani ni hatari Aikoo!!
Ni kujitekenya na kucheka mwenyewe…..
Dah! Mecheka sana hebu niache kwanza

😂😂😂😂 Haya kaa utulie unisimulie mi niko hapa nasubiri mwaya mdogo angu mchwitiiii Tin….
Hao ni vibabu bana, vijana wa humu wote wanahonga afu tatu na wanakuja kukufungulia uzi juu 🤣🤣🤣
Hao vibabu ndiomana hata hawakulalamika wenyewe wao wanataka uwasafishe tyuuu.!!
Hao wakishika nyonyo kwa sate wanaridhika 🤣🤣🤣
Halafu mi ninakoendea ntapigwa
Coca njoo shemeji anakukana hadharani leo 😂😂😂😂😂Na coca pia ni rafiki yangu tu watu wajue hivyo maana nimeshatukanwa hadharani kwenye comment na wengine kunifata pm kunitukana eti nakula mashoga
Yani waswahili wanachulia maisha ya jf too serious
Watu kibao nawatania humu wengi siwafahamu lkn wajumbe either wa wivu wao binafsi au kwa kuwa na mahusiano na hao watu wanadhani nawa seduce kuwataka au natoka nao
Aikoooo!! Ukabambie chengula hall 😂😂😂😂Aikooooo! Jf kila mtu mjanja mjanja, bora niende chengula nikapige breakdance![]()
Sijamuona, mzuri kweli? Mkaree kweli?oyoooooo.!!
Jamani mtoto mkaree huyu.!! Mjep mahari iongezwee rangi ya mtume, udongo wa dubai, rangi ya pesa hii
Hili toto bila tanesco unamulikwa ndani…. Mtoto portable easy to carry
Haya wale nyoko nyoko chuma mmekiona.???
Haya mkajambe week end imeisha kibabe![]()
Oyoooooooo!! Vijana kuna ujumbe wenu hapa 😂😂😂😂Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)
Ila jeifu lol humu ndani ni 🔥
Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .
Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .
Sawa ccy naona tu umelelewa vzuri, cz busara unazo.Yani Asante sana ..
Hii ndo adhabu nzuri nayotakiwa kuipata baada ya kuwa mjinga kiasi kile .
Muda mwingine inafaa kunipa adhabu mwenyewe baada ya kushindwa kutumia akili na kutumia hisia .
😂😂😂😂 Warumi wako Italy bana usinichoshe mieSijamuona, mzuri kweli? Mkaree kweli?
Warumi......
Hehee Nouma 😅😅Oyoooooooo!! Vijana kuna ujumbe wenu hapa 😂😂😂😂
Ila vibabu vina sifa yani kiss vinatoa sate whooooufff 😂😂😂
Vijana ongezeni kasi vibabu vinashambulia sana karibu na goli lenu
Thank you 💕, I appreciateSawa ccy naona tu umelelewa vzuri, cz busara unazo.
Okay babeThank you 💕, I appreciate
😂😂😂😂 Shem tunaomba mgao wetu wa vyombo hii haikubaliki kabisaaaVyombo niliwapelekea wake zangu wanne🤣🤣 elewa neno wake wanne
😂😂😂 Vibabu vinashambulia sana upande wa vijana, labda Mpaji Mungu anaweza kuokoa team, huyu winga wa kkoo inasemekana ana maokoto sana upande wa vijana…. 🏃♀️🏃♀️🏃♀️Hehee Nouma 😅😅
😂😂😂😂 Acha kunitibua
Siweziiiiiiii shindana na people venye wako mwisho wa reli 🤣🤣😂😂😂 Vibabu vinashambulia sana upande wa vijana, labda Mpaji Mungu anaweza kuokoa team, huyu winga wa kkoo
Ooh safi sana😂😂😂 Vibabu vinashambulia sana upande wa vijana, labda Mpaji Mungu anaweza kuokoa team, huyu winga wa kkoo inasemekana ana maokoto sana upande wa vijana…. 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
😂😂😂 Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllllSiweziiiiiiii shindana na people venye wako mwisho wa reli 🤣🤣
😄😄Wazee wa humu kumbe wanatoa 30k? Na wadada wanaona market value yao ndo hyo🤣🤣ngastuka😂😂😂 Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll
Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee 😂😂😂😂
😂😂😂😂 Vijana wanazidi kuelemewa pambano bado ni kali sana….Ooh safi sana
Wazee tuwaheshimu tu inatosha ..
Vijana japo wasumbufu tuwavumilie tu ..