Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll

Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee 😂😂😂😂
😄😄Wazee wa humu kumbe wanatoa 30k? Na wadada wanaona market value yao ndo hyo🤣🤣ngastuka
 
Ooh safi sana

Wazee tuwaheshimu tu inatosha ..
Vijana japo wasumbufu tuwavumilie tu ..
😂😂😂😂 Vijana wanazidi kuelemewa pambano bado ni kali sana….
Binti kaamua kuwapa ushindi vibabu, haya namuona huyu kijana shabiki wa Fally Ipupa Charles kilian anamwaga kwacha za Zambia km 200 hunded sawa na elfu 20 na kitu hivi ya kitanzania….. anataka kuokoa goli upande wa vijana….. hebu subiri tuone km atafanikiwa 😂😂😂😂
Mechi bado inaendelea ila vijana wako hoi
 
😂😂😂😂 Vijana wanazidi kuelemewa pambano bado ni kali sana….
Binti kaamua kuwapa ushindi vibabu, haya namuona huyu kijana shabiki wa Fally Ipupa Charles kilian anamwaga kwacha za Zambia km 200 hunded sawa na elfu 20 na kitu hivi ya kitanzania….. anataka kuokoa goli upande wa vijana….. hebu subiri tuone km atafanikiwa 😂😂😂😂
Mechi bado inaendelea ila vijana wako hoi
Mpe heshima yake Charles kilian ana ududu mwingi sana pale Mererani hyo nakuibia tu siri
 
Udugu wangu mkaree, mzuri halafu huringi wala nini?? Ndiomana Boss wa voucha anasuuza rungu uko lkn anarudi kwa bi mkubwa…. Anajua wangoni visu [emoji7][emoji7][emoji7]
Pua nzuri hiyo mbona, lips mashallah!!
Awwww kunogile udugu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka kitu, nimechekaa had baas.
Udugu huwa naringa huko mtaani, hapa JF niwaringie maroboti na vibabu miga? Wee kuwezaaa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu atambeee na chakeee, wee ukipewa hiki, mwenzio anapewa kilee, tatizo watu wivuuu tyuuh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka kitu, nimechekaa had baas.
Udugu huwa naringa huko mtaani, hapa JF niwaringie maroboti na vibabu miga? Wee kuwezaaa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu atambeee na chakeee, wee ukipewa hiki, mwenzio anapewa kilee, tatizo watu wivuuu tyuuh.
Treeeeenaah 👌
Kila mmoja akae kwenye nafasi yake 😂😂😂
Udugu shuka chini kuna jambo 😭😭😭
 
Greetings to you all
Ladies , I appreciate your concern and grateful for the advice .
Thank you so much .

I can say Nina ka moyo mwepesi ..
Sidhani hata Nina nguvu za kurudi humu .

I'm just so gullible ..
Lovelovie
Mahondaw
@ lamomy

cocastic I'm sorry lakini sijakusema .
Samahani kwa yote .

Na pia sina shida kabisa na wewe na siwezi kukuonea wivu . Maana hata sikufahamu .

Kwa wale wadada wote inavyosemekana nimewachamba naomba radhi ..

Tins ....
Hizi ids mpya siziamini kabisa sijui kwanini!!

Kama ni wewe tins uwe na amani tu mamy karibu sana tuendelee kuselfika!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kweli mtoto mkaree..
Ww rangi huioni hiyo..!!
Vipi kaka mshipa wa ngiri haujashtuka??
Mtoto ana viwango vya kimataifa huyo ooh!!
Sio ile mi kina Asha jibwa ya vingunguti [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu kwann lakiniii.
 
Acha uoga Tin rudi bana [emoji8][emoji8][emoji8]
Mwenye jeiefu Max wengine wote wapangaji, hakuna kuogopa ww rudi…
Ningekuwa mimi ndio ww nawataja wote wanaotoa sate, na niliowananga nao wote nawananga live wajione… mwenye uchungu tuchambane. Mbwai mbwai hakuna kusurrender 🥷[emoji2536][emoji1733][emoji378]

Kwahiyo yule babu kweli alikukiss kwa sate kwenye rahumu, sijui inaandikwa hivo… hivi vi baby walker navyo vina majina magumu… aaarrrggggghhh maboss wa sate badilisheni magari mnatupa shida wambea kuyaandika, vichwa vinauma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanakiss kwa satee sauzand? Wallah nirudi kwa mganga, mbona mie nakiss kwa harufu ya perfume tyuuh. Woiiiiih
 
Back
Top Bottom